Kuwaburuza wabunge wanaojitambua ni kuburuza wananchi, sasa Dkt. Tulia naye tumpeleke kwa wananchi ashughulikiwe

Kuwaburuza wabunge wanaojitambua ni kuburuza wananchi, sasa Dkt. Tulia naye tumpeleke kwa wananchi ashughulikiwe

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.

Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.

Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?

Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA

======

Pia soma:
 
Kwa kweli inaumiza sana, nchi inaingia kwenye taabu kisa tamaa ya wachache!
IMG_20240618_131632_997.jpg
 
Kwa ujinga wake, anafikiria kwa kufanya hivyo anawasaidia Rais na Bashe, kumbe ndiyo anazidi kuwasiriba kwa uchafu. Watu watamchukia Rais zaidi, Bashe na Serikali nzima kwa ujumla. Hii itapeleka ujumbe kwa wananchi kuwa kumbe huo uovu wa Bashe haukuwa wake peke yake bali ni wa Serikali nzima, na CCM yote.
 
Watachagua mwingine ambae atakuwa upande wa serikali. Atakuwa puppet again. The best way ni katiba ibadilishwe of how speaker anapatikana else tunazunguka pale pale
Safi, kama mabadiliko ya katiba yatawalinda wabunge wetu wanaosimamia maslahi ya wananchi basi ni jambo jema kabisa. Kwetu sisi wananchi mbunge bora ni yule anayeiwajibisha serikali kwa niaba yetu bila kujali ni wa chama gani.
 
Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.
Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi.
Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.
Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?
Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA
HATUMTAKI TULIA!!!
 
Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.
Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi.
Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.
Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?
Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA
Wananchi wa jf na wananchi wapiga kura ni wananchi tofauti kabisa tulio kwenye field code hii ni wazi
 
Dawa yake asirudi tena bungeni ila aje mbunge mwingine wa ccm!
Spika wa bunge ni kama Referee kwenye mchezo wa kandanda. Anapaswa kuwa neutral asiyeegemea upande wowote.

Anna Makinda alijionesha kutoegemea upande wowote. She was very neutral. Samuel Sitta na Job Ndugaye walijionesha kuegemea upande ule wa wananchi na kuupa taabu ule upande wa pili hususani kwenye lile sakata la Richmond na lile la ESCROW.

Dr Tulia yeye kajionesha kama kuegemea ule upande wa pili. Hiyo ndiyo siasa, waamuzi wa mwisho kwenye huu mchezo wa siasa ni wananchi ifikapo 2025, yaani Sugu vs Tulia huko Mbeya. Lakini kwa jinsi mchezo huu unavyoendelea ni dhahiri kwamba Tulia atapata ushindi wa kishindo wa asilimia 80% na Bw. Mpina huko Kisesa jina lake halitapita kwa wajumbe, labda atafute chama kingine.
 
Safi, kama mabadiliko ya katiba yatawalinda wabunge wetu wanaosimamia maslahi ya wananchi basi ni jambo jema kabisa.
Kwetu sisi wananchi mbunge bora ni yule anayeiwajibisha serikali kwa niaba yetu bila kujali ni wa chama gani.
Tulia harudi kuwa spika wala subwoofer pale mjengonini.

Iwe mvua ama jua, tuwe na ktiba mpya ama hili kokoro.
 
Spika wa bunge ni kama Referee kwenye mchezo wa kandanda. Anapaswa kuwa neutral asiyeegemea upande wowote.

Anna Makinda alijionesha kutoegemea upande wowote. She was very neutral. Samuel Sitta na Job Ndugaye walijionesha kuegemea upande ule wa wananchi na kuupa taabu ule upande wa pili hususani kwenye lile sakata la Richmond na lile la ESCROW.

Dr Tulia yeye kajionesha kama kuegemea ule upande wa pili. Hiyo ndiyo siasa, waamuzi wa mwisho kwenye huu mchezo wa siasa ni wananchi ifikapo 2025, yaani Sugu vs Tulia huko Mbeya. Lakini kwa jinsi mchezo huu unavyoendelea ni dhahiri kwamba Tulia atapata ushindi wa kishindo wa asilimia 80% na Bw. Mpina huko Kisesa jina lake halitapita kwa wajumbe, labda atafute chama kingine.
NI mtazamo tu!
 
Spika wa bunge ni kama Referee kwenye mchezo wa kandanda. Anapaswa kuwa neutral asiyeegemea upande wowote.

Anna Makinda alijionesha kutoegemea upande wowote. She was very neutral. Samuel Sitta na Job Ndugaye walijionesha kuegemea upande ule wa wananchi na kuupa taabu ule upande wa pili hususani kwenye lile sakata la Richmond na lile la ESCROW.

Dr Tulia yeye kajionesha kama kuegemea ule upande wa pili. Hiyo ndiyo siasa, waamuzi wa mwisho kwenye huu mchezo wa siasa ni wananchi ifikapo 2025, yaani Sugu vs Tulia huko Mbeya. Lakini kwa jinsi mchezo huu unavyoendelea ni dhahiri kwamba Tulia atapata ushindi wa kishindo wa asilimia 80% na Bw. Mpina huko Kisesa jina lake halitapita kwa wajumbe, labda atafute chama kingine.
Spika chawa wa Rais na ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM ambapo Rais ndiyo Mwenyekiti, kwaiyo Spika anapewa maelekezo na chama namna vile wanapenda Bunge liendeshwe!
 
Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.

Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.

Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?

Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA

======

Pia soma:
Huyo Bi Fito hajawahi hata siku moja kukoga roho yangu tokea siku ya kwanza alipo teuliwa na Magufuli.

Huyu ni aina ya watu wanaotakiwa kuzikwa na wasisikike kamwe tena katika Tanzania bila ya CCM.
Huyu ni sampuli aina ya viongozi taka kabisa waliowahi kuwepo katika nafasi za juu ndani ya nchi hii.
 
Bashe anainuliwa kwa nguvu, Luhaga Mpina ana tibua kwa kutaja genge la uharifu.
 
Kwa ujinga wake, anafikiria kwa kufanya hivyo anawasaidia Rais na Bashe, kumbe ndiyo anazidi kuwasiriba kwa uchafu. Watu watamchukia Rais zaidi, Bashe na Serikali nzima kwa ujumla. Hii itapeleka ujumbe kwa wananchi kuwa kumbe huo uovu wa Bashe haukuwa wake peke yake bali ni wa Serikali nzima, na CCM yote.
Na siamini hata kwa sekunde moja, kwamba yanayofanywa na Bashe ni yake mwenyewe. Hana uwezo na hata ujasiri wa kuyafanya hayo.
 
Back
Top Bottom