Kuwaburuza wabunge wanaojitambua ni kuburuza wananchi, sasa Dkt. Tulia naye tumpeleke kwa wananchi ashughulikiwe

Kuwaburuza wabunge wanaojitambua ni kuburuza wananchi, sasa Dkt. Tulia naye tumpeleke kwa wananchi ashughulikiwe

Na siamini hata kwa sekunde moja, kwamba yanayofanywa na Bashe ni yake mwenyewe. Hana uwezo na hata ujasiri wa kuyafanya hayo.
Nakuunga mkono kwenye kabisa! Haya mambo ya hovyo yafanywayo na viongozi ni maagizo ya chama chao CCM na ndio maana huoni wakiwa waoga wala wenye aibu watendapo.
Pia ona nguvu itumikayo kuwalinda! Hicho kispika kinakomaa kama kichawi kukazia maumivu.
 
Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.

Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.

Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?

Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA

======

Pia soma:
Mkuu unakumbuka kanuni zilizotumika kuwasulubu wapinzani kipindi cha Ndugai???

Walidhani kanuni zile ni mahususi kwa ajili ya wapinzani, sasa ndio zinatumika kwao.

Ndio maana uliona wabunge wote kimyaaaa, hata Olesendeka ulimuona na kiherehere chake??

Mkuu maji ya kinyozi yapo tayari!!

Sheria ni msumeno, na Mpina akitoka nje anashughulikiwa pia in Magufuli's words!!

⚖️4Asimwe#
 
Safi, kama mabadiliko ya katiba yatawalinda wabunge wetu wanaosimamia maslahi ya wananchi basi ni jambo jema kabisa. Kwetu sisi wananchi mbunge bora ni yule anayeiwajibisha serikali kwa niaba yetu bila kujali ni wa chama gani.


⚖️4Asimwe#
 
Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.

Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.

Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?

Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA

======

Pia soma:
Wananchi gani mkuu. Hawa hawa ambao wao wakishapewa kofia na zuchu kuwakatia mauno stejini wanatoa mitano tena. Hawa hawa ambao wanaamini viongozi kupiga ni haki yao na wao kila wanachofanyiwa ni hisani na inabidi washukuru sana?
Kufikia sasa hivi ingekuwa nchi inayojielewa na vyombo vyenye uhuru ilibidi TAKUKURU wawe kazini kuchimbua mzizi na ukweli wa haya yote maana Bw. Mpina kawapa direction na ushahidi lakini TAKUKURU ni taasisi ambayo huwa mpaka iagizwe kufanya kazi na wale ambao inabidi iwachunguze. Huwa sioni hata sababu ya uwepo wake maana haifanyi kazi yake zaidi ya kudeal na watu wa chini kabisa.
 
Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.

Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.

Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?

Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA

======

Pia soma:
Huyo speaker kwa jinsi alivyotaka kupitisha ule mkataba na dubai kwa hila bungeni na pale alipowaita wote wanaoupinga wapumbavu sina imani naye kabisa. Namuona kama mamluki wa ubeberu tu.
 
Back
Top Bottom