Nakuunga mkono kwenye kabisa! Haya mambo ya hovyo yafanywayo na viongozi ni maagizo ya chama chao CCM na ndio maana huoni wakiwa waoga wala wenye aibu watendapo.Na siamini hata kwa sekunde moja, kwamba yanayofanywa na Bashe ni yake mwenyewe. Hana uwezo na hata ujasiri wa kuyafanya hayo.
Mkuu unakumbuka kanuni zilizotumika kuwasulubu wapinzani kipindi cha Ndugai???Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.
Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.
Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?
Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA
======
Pia soma:
Watachagua mwingine ambae atakuwa upande wa serikali. Atakuwa puppet again. The best way ni katiba ibadilishwe of how speaker anapatikana else tunazunguka pale pale
Naunga mkono hoja asulubishweWana Mbeya Mjini wasaidieni Watanzania kwa kumnyima kura huyu mjivuni asirudi tena bungeni.
Safi, kama mabadiliko ya katiba yatawalinda wabunge wetu wanaosimamia maslahi ya wananchi basi ni jambo jema kabisa. Kwetu sisi wananchi mbunge bora ni yule anayeiwajibisha serikali kwa niaba yetu bila kujali ni wa chama gani.
HATUMTAKI TULIA!!!
Wananchi gani mkuu. Hawa hawa ambao wao wakishapewa kofia na zuchu kuwakatia mauno stejini wanatoa mitano tena. Hawa hawa ambao wanaamini viongozi kupiga ni haki yao na wao kila wanachofanyiwa ni hisani na inabidi washukuru sana?Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.
Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.
Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?
Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA
======
Pia soma:
Huyo speaker kwa jinsi alivyotaka kupitisha ule mkataba na dubai kwa hila bungeni na pale alipowaita wote wanaoupinga wapumbavu sina imani naye kabisa. Namuona kama mamluki wa ubeberu tu.Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni.
Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama kiongozi wa Bunge sasa ni mtetezi wa Serikali katika kukandamiza wananchi. Fimbo yake ni kamati ya maadili ya Bunge, sasa na sie kama waajiri wake Spika Tulia tumpeleke katika kamati ya maadili ya wananchi ajadiliwe kwa mapana na ikiwezekana tumkatae kwa sauti kubwa na adhabu ianzie huko Mbeya.
Kwa nini kila mbunge anayejitokeza kusema ukweli anaandamwa? Sasa kazi ya mbunge inatakiwa kuwa chawa wakati hawakuomba kura kuwa chawa bungeni?
Tutamke kwa sauti kuu #HATUKUTAKI-DRTULIA
======
Pia soma: