Kuwafanyia watoto DNA test

ha ha ha ha ha ha ha!
nguli hii thread utairusha lini?

Nashindwa kwa vile nimegundua inahusisha rafiki zangu wa karibu sana humu JF na hata legends nitakuwa najipenda kweli mwenye ubavu aanzishe naweza lowanishwa na ban mwisho wa mwaka huu.
 

Ndugu yangu MTM, hakuna anayebisha kuwa vipimo vya DNA ni vizuri sana na muhimu katika maisha ya siku hizi. Kwa maana hiyo hatupingani na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Bali tunapingana na sababu unazojaribu kutueleza kuwa zinaweza kukufanya ukapime DNA kwa ajili kujua kama watoto unaolea ni wako. Nilishakueleza sababu zinazoweza kusababisha wanandoa wakapime DNA ya watoto eg kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kama uko Tz. Je wewe una mojawapo kati ya hizo? Kung'ang'ania kupima bila sababu inayomshawishi mwenzio ni kufanya jaribio la kuvunja ndoa. Kama uko tayari kwa hilo endelea tu, utakuja tujuvya baadaye. Hata hivyo tumejitahidi kutimiza wajibu wetu wa kukushauri na kuelimishana! Kila la heri ndugu!
 

DC, tuko pamoja sana tu

kama umesoma mada nzima na hoja zangu, utakubali kwamba all these discussions were based on a night out where couples discussed alot including DNA.

Nimeangalia pande zote na bado nimebaki na yafuatayo

  • MOst of us dont have the priviledge ya kuijua faida na athari za DNA kiundani
  • DNA haipendwi zaidi na akina mama kutokana na taarifa nusunusu zinatoenezwa hasa kuhusu partenity tests
  • Kuna alot of social and moral issues to be addressed kabla mtu hajapima NDA iwapo lengo ni ku-confirm partenity
  • There is a lot of secrecy in our families as we speak ndio maana DNA inaonekana kama a can of worms na haitakiwi kufunguliwa unneccesarily
  • Pia inaonekana suala la DNA ni beyond trust; zaidi nilichopata hapa ni kwamba we are not being honest with our partners kwani wengi wa wanaume wanawish kufanya (sina source) lakini wanaona kama taboo... we need to live in an open world ili kupambana na ukuaji wa sayansi at the same time tunajenga moral responsibilities

In short ni kwamba there is alot on partenity kuliko DNA testing kwa mtoto. Sina hakika kama ntachukua route ipi lakini bado naamini testing is very important socially and scientifically, and NOT testing is important socially and morally (but which morals are we protecting?)

Thanks wakuu
 
kwa sasa DNA inatakiwa kupimwa kwa kibali cha mahakama tu, hapo utaona kuwa walio wengi wamebambikiziwa, na serikali haitaki watu wauane maana wanajua ukweli wa suala hili, uaminifu haupo kwa %kubwa,

nashauri tuachane na vipimo hivi tunaweza kujitia kitanzi au kufariki kabla ya wakati, au tunaweza kuua watoto au mama zao au huyo muhusika wa hiyo mimba.
 
Hongera kwa babyboy. Hope baba watoto hajaanzisha habari ya DNA🙄
 



Mi namjua wyf wako, si alikuwa anaimba sauti ya pili? ila ni kweli wyfe wako hakumegwa na yeyote kwenye kwaya, ila alikuwa anamegwa na mfadhili wa ile kwaya, ushawahi jiuliza kwanini mshikaji aliamua kujitolea kuifadhili kwaya na ni lini? muulize mkeo vizuri
 

Mh, mazee.... mbona unaingia ndani sana?

Kumbuka its easier kusema kuhusu jambo😛

I have learnt alot on how people perceive DNA
 
Dna ni nzuri....but..
Hebu fikiria kuwa una watoto wanne
unapima dna unakuta wote si wako..
Je utajisikiaje?
Huoni kuwa ni uthibitisho pia kuwa
wewe una kasoro?
Watu watakuelewa vipi
ukitangaza matokeo?
 
Dna ni nzuri....but..
Hebu fikiria kuwa una watoto wanne
unapima dna unakuta wote si wako..
Je utajisikiaje?
Huoni kuwa ni uthibitisho pia kuwa
wewe una kasoro?
Watu watakuelewa vipi
ukitangaza matokeo?

...mnh, kwa hali hiyo kasoro yenyewe wala si ndogo!
 

Mkuu issue inaonekana imekutibua vipi wewe na huyo 'tibaigana' wako tayari mnao makinda?
 

Samahani BR, wewe umelelewa na mzazi mmoja?
 


Kawaida ya ndoa ni kuaminiana ili muishi vizuri. Inapofikia mambo ya kupima DNA UJUE KUNA TATIZO KUBWA SANA ambalo kama hukutatua litaleta matatizo. Vinginevyo hakuna haja ya kupima wala kuongelea suala hilo kwa manufaa ya watoto.
 
DNA test muhimu...potelea mbali..itawafanya 'wadada' wawe makini na 'waume zao'...
 
Kupima DNA ni personal choice lkn mbona double standards? How many men wanawakataa watoto ambao ni wao for real? Na women raise those kids on their own? Then what happens ,those men end up raising children who are not theirs...... (the irony about life)
 
 
H… Healthy, Hopeful, Humble, Humorous, Hummus eater

A … Appreciative, Approachable, Activist for global peace & justice

P … Peaceful, positive, …

P … Passionate, practical, …

Y… Youthful, yummy, …
 
Je inawezekana ufanye DNA Test kwa baba na mtoto tu? au ni lazima mama awepo? Ninangalia uwezekano wa kupima mimi na mwanangu(????)tu.
 

mwanaume anayekataa mtoto ana matatizo, hata ukipima DNA na mtoto asiwe wako cha maana ni kukubaliana na kuelewana kwenu kama mtaendelea na mahusiano, hatma ya mtoto nk.

cha maana hapa ni kutumia technology kupunguza hisia zisizo za lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…