Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafika hiyo 45?kama sugu motochini ameoa akiwa na 45. Mimi ni nani hadi nioe kabla ya kufika 20.
mzee unasema?? upo kwenye ndoa?Stay single as long as you can!
Nina miaka 3 kwenye ndoa...before ndoa i stayed single kwa miaka mingi...kama sugumzee unasema?? upo kwenye ndoa?
unajuta kuingia kwenye ndoa?Nina miaka 3 kwenye ndoa...before ndoa i stayed single kwa miaka mingi...kama sugu
Hapana japo sio jambo la kukurupukia.unajuta kuingia kwenye ndoa?
wa kumuoa ushampata?Eti nimechelewa kuoa.kwani kuoa kunaendana na booking kwamba usafiri utaniacha,Nasubiria mwakani.
Nitaoa.
Mimi nimeoa na miaka 39 but now i wish could have stayed single a little longer.....hata kubadirisha tv channel lazima mbishane.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],kwa nini mzee??
Maisha ya ubachela Ni mazuri Sana. Mimi mwenyewe baada ya kuoa, najiona nimepotea Sana.Mimi nimeoa na miaka 39 but now i wish could have stayed single a little longer.....hata kubadirisha tv channel lazima mbishane.
Matamu sanaMaisha ya ubachela Ni mazuri Sana. Mimi mwenyewe baada ya kuoa, najiona nimepotea Sana.
[emoji16]kama sugu motochini ameoa akiwa na 45. Mimi ni nani hadi nioe kabla ya kufika 20.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kabla ya kuoa hakikisha ushapiga show nyingi sana maana maisha ndani ya ndoa ni sawa na kujiteka mwenyewe
Miaka mitatu chamani...kikubwa ninachojivunia ni kupata twin boyz ambao wana miaka 2 now.umeshakaa mda gani,I guess ni muda mfupi Sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuzoea uhuru sana pia ni tatizo!mbona umekata ringi mapema hivyo,kumi utafikisha kweli??
Hapana....!ulikuwa una watoto kabla ya hao twins?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wewe baharia kweli kweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]