Kuwaibia Wajinga ni rahisi na inafurahisha sana

Kuwaibia Wajinga ni rahisi na inafurahisha sana

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri;(Itikieni: Kazi iendelee).

Wizi sio mzuri lakini kuna Watu watanicheka na kusema huyu anaongea nini. Anyway! Inategemea na Aina ya wizi, hapo vipi? Lakini Mimi ninajua wizi ni wizi tuu! Mmmh! Hapana wizi hauwezi kuwa wizi tuu! Upo wizi mzuri na upo wizi Mbaya.

Kivipi?
Sikiliza Bwana Mdogo, kitu chochote chenye matokeo mabaya huwa ni kibaya, na kitu chochote chenye matokeo mazuri ni kizuri." Unamaanisha upo wizi wenye matokeo mazuri?

"Upo wizi wa kuibia wajinga, vipofu na wanyonge ambao hawajui wanaibiwa, wizi huo ni mzuri Kwa sababu hauna madhara"

Mimi sitaki mafundisho yako bhana, ninachojua Wizi ni wizi tuu! Hakuna wizi Mzuri, wizi ni Mbaya.
"Tatizo lako Taikon unajifanya Mjuaji lakini huna unachojua, sikiliza, wizi Mbaya ni ule wa wajinga, vipofu na wanyonge kuibiana. Huo wizi unamadhara kwao wenyewe Kwa sababu watauana au kupelekena jela na kufungana korokoroni.

Unajua Taikon wewe bado ni kijana mdogo, bado ni mchanga Sana kuna mambo huyajui, mjinga hawezi kujua anaibiwa na mwerevu, mjinga anaweza kujua anaibiwa na mjinga mwenzake, kipofu hawezi kuona anaibiwa na mwenye Macho yenye kuona, Ila atajua anaibiwa na kipofu mwenzake, hivyohivyo na Mnyonge hawezi kujua anaibiwa na Tajiri Ila atajua akiibiwa na mnyonge mwenzake"

Huwezi Kupata madhara ukiibia wajinga, vipofu na wanyonge. Hiyo Ipo hivyo. Pengine haihesabiki kuwa ni Wizi.

Nataka kukuambia Taikon, Mjinga anamheshimu mtu anayemuibia Kwa sababu hajui anaibiwa. Kumuibia mjinga na kipofu ni rahisi Sana na inafurahisha Kwa sababu unamuibia alafu anakuona umebarikiwa na Mungu, anaona Mungu ndiye aliyekustawisha na kukujalia Maisha mazuri. Asijue wizi wako ndio umekunufaisha.

Ni rahisi kuwaibia Wajinga Kwa sababu zifuatazo:

1. Hawajui wanaibiwa.
2. Hawana umoja

Moja ya zile Sifa kuu za Watu wajinga Ni kukosa umoja. Hawawezi kuwa na umoja Kwa sababu wao ni wajinga, hawajui umuhimu wa umoja. Hahaha! Kwa hiyo wewe ukija ni kupiga tu. Wajinga Ni kama Preys ambao huwindwa na Predators. Wajinga Ni kama Kuku kwenye Banda wanaofugwa, ukiamua muda wowote unakamata unachinja unakula zako. Hawawezi kuungana kupingana na matatizo Yao. Hiyo ni tofauti na watu Werevu, wao ni Wamoja, watapambana kwa mbinu zozote ziwe za Amani au za hatari ili kulinda umoja wao kwani umoja wao ndio nguvu Yao.

3. Wanaamini katika majaliwa
Wajinga Ni Watu wasiowajibika, wanaamini Maisha Yao yanaamuliwa na mhusika mwingine iwe anayeonekana au asiyeonekana. Maisha mazuri kwao ni kama hisani. Mimi bado sijakuelewa, maelezo mengi lakini hayaeleweki. "Hakuna asiyekujua Taikon, wewe ni mbishi kama wale Watu wa kule ziwa Tanganyika, kama hujaelewa shauri yako. Nenda jela ukaone ni kina Nani wamefungwa Kwa kesi za wizi ili uelewe nikisemacho"

Mimi siwezi kuelewa chochote hapo. Wizi ni wizi. Hakuna wizi Mzuri. Come on!

ATI wadau huyu Mzee mnamuelewa? Mnakubaliana naye kuwa kuna wizi Mzuri na wizi Mbaya?

Nawatakia jumapili Njema!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi.
Kwa sasa Dar es salaam
 
Kwanza mjinga anaibiwa vipi? inawezekana hata akiibiwa asijue kama ameibiwa, na ndio maana hata akiambiwa na CAG ameibiwa, bado anaendelea na mambo yake tu.

Hao jamaa huwa wanachukua hawatuibii, sisi sio wajinga, ni taifa la wapumbavu wanaojidai wako "busy" na mambo yao.
 
Kwanza mjinga anaibiwa vipi? inawezekana hata akiibiwa asijue kama ameibiwa, na ndio maana hata akiambiwa na CAG ameibiwa, bado anaendelea na mambo yake tu.

Hao jamaa huwa wanachukua hawatuibii, sisi sio wajinga, ni taifa la wapumbavu wanaojidai wako "busy" na mambo yao.

Unatutukana Mkuu ujue,
Hatari Sana
 
Kwanza mjinga anaibiwa vipi? inawezekana hata akiibiwa asijue kama ameibiwa, na ndio maana hata akiambiwa na CAG ameibiwa, bado anaendelea na mambo yake tu.

Hao jamaa huwa wanachukua hawatuibii, sisi sio wajinga, ni taifa la wapumbavu wanaojidai wako "busy" na mambo yao.
Tufanye0
nini mkuu ili waache kutuibia
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri;(Itikieni: Kazi iendelee).

Wizi sio mzuri lakini kuna Watu watanicheka na kusema huyu anaongea nini. Anyway! Inategemea na Aina ya wizi, hapo vipi? Lakini Mimi ninajua wizi ni wizi tuu! Mmmh! Hapana wizi hauwezi kuwa wizi tuu! Upo wizi mzuri na upo wizi Mbaya.

Kivipi?
Sikiliza Bwana Mdogo, kitu chochote chenye matokeo mabaya huwa ni kibaya, na kitu chochote chenye matokeo mazuri ni kizuri."
Unamaanisha upo wizi wenye matokeo mazuri?

" Upo wizi wa kuibia wajinga, vipofu na wanyonge ambao hawajui wanaibiwa, wizi huo ni mzuri Kwa sababu hauna madhara"
Mimi sitaki mafundisho yako bhana, ninachojua Wizi ni wizi tuu! Hakuna wizi Mzuri, wizi ni Mbaya.
"Tatizo lako Taikon unajifanya Mjuaji lakini huna unachojua, sikiliza, wizi Mbaya ni ule wa wajinga, vipofu na wanyonge kuibiana. Huo wizi unamadhara kwao wenyewe Kwa sababu watauana au kupelekena jela na kufungana korokoroni,
Unajua Taikon wewe bado ni kijana mdogo, bado ni mchanga Sana kuna mambo huyajui, mjinga hawezi kujua anaibiwa na mwerevu, mjinga anaweza kujua anaibiwa na mjinga mwenzake, kipofu hawezi kuona anaibiwa na mwenye Macho yenye kuona, Ila atajua anaibiwa na kipofu mwenzake, hivyohivyo na Mnyonge hawezi kujua anaibiwa na Tajiri Ila atajua akiibiwa na mnyonge mwenzake"

Huwezi Kupata madhara ukiibia wajinga, vipofu na wanyonge. Hiyo Ipo hivyo. Pengine haihesabiki kuwa ni Wizi.

Nataka kukuambia Taikon, Mjinga anamheshimu mtu anayemuibia Kwa sababu hajui anaibiwa.
Kumuibia mjinga na kipofu ni rahisi Sana na inafurahisha Kwa sababu unamuibia alafu anakuona umebarikiwa na Mungu, anaona Mungu ndiye aliyekustawisha na kukujalia Maisha mazuri. Asijue wizi wako ndio umekunufaisha.

Ni rahisi kuwaibia Wajinga Kwa sababu zifuatazo;
1. Hawajui wanaibiwa.
2. Hawana umoja
Moja ya zile Sifa kuu za Watu wajinga Ni kukosa umoja. Hawawezi kuwa na umoja Kwa sababu wao ni wajinga, hawajui umuhimu wa umoja. Hahaha! Kwa hiyo wewe ukija ni kupiga tuu,
Wajinga Ni kama Preys ambao huwindwa na Predators. Wajinga Ni kama Kuku kwenye Banda wanaofugwa, ukiamua muda wowote unakamata unachinja unakula zako. Hawawezi kuungana kupingana na matatizo Yao. Hiyo ni tofauti na watu Werevu, wao ni Wamoja, watapambana kwa mbinu zozote ziwe za Amani au za hatari ili kulinda umoja wao kwani umoja wao ndio nguvu Yao.
3. Wanaamini katika majaliwa.
Wajinga Ni Watu wasiowajibika, wanaamini Maisha Yao yanaamuliwa na mhusika mwingine iwe anayeonekana au asiyeonekana.
Maisha mazuri kwao ni kama hisani.

Mimi bado sijakuelewa, maelezo mengi lakini hayaeleweki.
"Hakuna asiyekujua Taikon, wewe ni mbishi kama wale Watu wa kule ziwa Tanganyika, kama hujaelewa shauri yako. Nenda jela ukaone ni kina Nani wamefungwa Kwa kesi za wizi ili uelewe nikisemacho"

Mimi siwezi kuelewa chochote hapo. Wizi ni wizi. Hakuna wizi Mzuri. Come on!

ATI wadau huyu Mzee mnamuelewa? Mnakubaliana naye kuwa kuna wizi Mzuri na wizi Mbaya?

Nawatakia jumapili Njema!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi.
Kwa sasa Dar es salaam
Mkuu tufanye nini ili waache kutuibia.
 
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri;(Itikieni: Kazi iendelee).

Wizi sio mzuri lakini kuna Watu watanicheka na kusema huyu anaongea nini. Anyway! Inategemea na Aina ya wizi, hapo vipi? Lakini Mimi ninajua wizi ni wizi tuu! Mmmh! Hapana wizi hauwezi kuwa wizi tuu! Upo wizi mzuri na upo wizi Mbaya.

Kivipi?
Sikiliza Bwana Mdogo, kitu chochote chenye matokeo mabaya huwa ni kibaya, na kitu chochote chenye matokeo mazuri ni kizuri."
Unamaanisha upo wizi wenye matokeo mazuri?

" Upo wizi wa kuibia wajinga, vipofu na wanyonge ambao hawajui wanaibiwa, wizi huo ni mzuri Kwa sababu hauna madhara"
Mimi sitaki mafundisho yako bhana, ninachojua Wizi ni wizi tuu! Hakuna wizi Mzuri, wizi ni Mbaya.
"Tatizo lako Taikon unajifanya Mjuaji lakini huna unachojua, sikiliza, wizi Mbaya ni ule wa wajinga, vipofu na wanyonge kuibiana. Huo wizi unamadhara kwao wenyewe Kwa sababu watauana au kupelekena jela na kufungana korokoroni,
Unajua Taikon wewe bado ni kijana mdogo, bado ni mchanga Sana kuna mambo huyajui, mjinga hawezi kujua anaibiwa na mwerevu, mjinga anaweza kujua anaibiwa na mjinga mwenzake, kipofu hawezi kuona anaibiwa na mwenye Macho yenye kuona, Ila atajua anaibiwa na kipofu mwenzake, hivyohivyo na Mnyonge hawezi kujua anaibiwa na Tajiri Ila atajua akiibiwa na mnyonge mwenzake"

Huwezi Kupata madhara ukiibia wajinga, vipofu na wanyonge. Hiyo Ipo hivyo. Pengine haihesabiki kuwa ni Wizi.

Nataka kukuambia Taikon, Mjinga anamheshimu mtu anayemuibia Kwa sababu hajui anaibiwa.
Kumuibia mjinga na kipofu ni rahisi Sana na inafurahisha Kwa sababu unamuibia alafu anakuona umebarikiwa na Mungu, anaona Mungu ndiye aliyekustawisha na kukujalia Maisha mazuri. Asijue wizi wako ndio umekunufaisha.

Ni rahisi kuwaibia Wajinga Kwa sababu zifuatazo;
1. Hawajui wanaibiwa.
2. Hawana umoja
Moja ya zile Sifa kuu za Watu wajinga Ni kukosa umoja. Hawawezi kuwa na umoja Kwa sababu wao ni wajinga, hawajui umuhimu wa umoja. Hahaha! Kwa hiyo wewe ukija ni kupiga tuu,
Wajinga Ni kama Preys ambao huwindwa na Predators. Wajinga Ni kama Kuku kwenye Banda wanaofugwa, ukiamua muda wowote unakamata unachinja unakula zako. Hawawezi kuungana kupingana na matatizo Yao. Hiyo ni tofauti na watu Werevu, wao ni Wamoja, watapambana kwa mbinu zozote ziwe za Amani au za hatari ili kulinda umoja wao kwani umoja wao ndio nguvu Yao.
3. Wanaamini katika majaliwa.
Wajinga Ni Watu wasiowajibika, wanaamini Maisha Yao yanaamuliwa na mhusika mwingine iwe anayeonekana au asiyeonekana.
Maisha mazuri kwao ni kama hisani.

Mimi bado sijakuelewa, maelezo mengi lakini hayaeleweki.
"Hakuna asiyekujua Taikon, wewe ni mbishi kama wale Watu wa kule ziwa Tanganyika, kama hujaelewa shauri yako. Nenda jela ukaone ni kina Nani wamefungwa Kwa kesi za wizi ili uelewe nikisemacho"

Mimi siwezi kuelewa chochote hapo. Wizi ni wizi. Hakuna wizi Mzuri. Come on!

ATI wadau huyu Mzee mnamuelewa? Mnakubaliana naye kuwa kuna wizi Mzuri na wizi Mbaya?

Nawatakia jumapili Njema!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi.
Kwa sasa Dar es salaam
Mimi mkulima wa mahindi hapa dumila naibiwa nini zaidi ya ngedere kumaliza mashamba yangu tu?
 
Tufanye0
nini mkuu ili waache kutuibia

Mkuu tufanye nini ili waache kutuibia.
Kama hatuwezi kuungana basi kila mmoja wetu atleast atafute solution yake pale alipo, angalia wakikupiga kule juu wewe utawapiga wapi huku chini, ili twende nao sawa.
 
Kama hatuwezi kuungana basi kila mmoja wetu atleast atafute solution yake pale alipo, angalia wakikupiga kule juu wewe utawapiga wapi huku chini, ili twende nao sawa.
Unakosea mkuu wewe una Nini Cha kupiga zaidi utaishia kumpiga mnyonge mwenzako, huku tukiacha walioshika keki kuu wakigawana wenyewe
 
Mimi mkulima wa mahindi hapa dumila naibiwa nini zaidi ya ngedere kumaliza mashamba yangu tu?
Umeshaibiwa kwenye bei ya mbolea huo mfuko wa mbolea ki uhalisia haukutakiwa kuzidi elfu 50 lakin werevu wameongezea hapo cha juu unauziwa elfu 130 kama hata hili hulioni hakika wewe ni mjinga kama alivyosema mtoa mada
 
Kifupi: ukimpa binadamu “guarantee” ya kuwa madarakani milele pamoja na “absolute power” ya kuamua chochote na kutumia rasilimali ya taifa anavyojisikia bila kuhojiwa na yeyote, hakika subiri “kupigwa”. Huo ndio ujinga wa wajinga hao.

Jibu la kadhia hii ni kuwa na uongozi wa kidemokrasia utokanao na siasa makini. Uongozi unaolazimika kuwajibika kwa wananchi ambao wanaweza kuuwajibisha bila simile mara ukifanya ndivyo sivyo.

Bahati mbaya sana, hao wajinga wengi wao hawataki hali hili. Hawataki kuumiza vichwa kufikiri na kuchukua hatua. Wana hulka ya uchawa na wanaombea wapate kiongozi toka mbinguni “mwenye maono na uthubutu” awatatulie adha zao zote wao wabakie na kazi ya kumsifu na kumtukuza tu. Matokeo yake ni kupigwa zaidi na zaidi tena bila huruma.
 
Kifupi: ukimpa binadamu “guarantee” ya kuwa madarakani milele pamoja na “absolute power” ya kuamua chochote na kutumia rasilimali ya taifa anavyojisikia bila kuhojiwa na yeyote, hakika subiri “kupigwa”. Huo ndio ujinga wa wajinga hao.

Jibu la kadhia hii ni kuwa na uongozi wa kidemokrasia utokanao na siasa makini. Uongozi unaolazimika kuwajibika kwa wananchi ambao wanaweza kuuwajibisha bila simile mara ukifanya ndivyo sivyo.

Bahati mbaya sana, hao wajinga wengi wao hawataki hali hili. Hawataki kuumiza vichwa kufikiri na kuchukua hatua. Wana hulka ya uchawa na wanaombea wapate kiongozi toka mbinguni “mwenye maono na uthubutu” awatatulie adha zao zote wao wabakie na kazi ya kumsifu na kumtukuza tu. Matokeo yake ni kupigwa zaidi na zaidi tena bila huruma.

Habari yako inasikitisha kama taarifa ya Msiba
 
UNAJIITA TAIKON LAKINI NI MAPETA YA MCHELE KWENYE UANDISHI

HAKUNA KINACHOELEWEKA NAONA UNAJIFURAHISHA TU
 
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri;(Itikieni: Kazi iendelee).

Wizi sio mzuri lakini kuna Watu watanicheka na kusema huyu anaongea nini. Anyway! Inategemea na Aina ya wizi, hapo vipi? Lakini Mimi ninajua wizi ni wizi tuu! Mmmh! Hapana wizi hauwezi kuwa wizi tuu! Upo wizi mzuri na upo wizi Mbaya.

Kivipi?
Sikiliza Bwana Mdogo, kitu chochote chenye matokeo mabaya huwa ni kibaya, na kitu chochote chenye matokeo mazuri ni kizuri."
Unamaanisha upo wizi wenye matokeo mazuri?

" Upo wizi wa kuibia wajinga, vipofu na wanyonge ambao hawajui wanaibiwa, wizi huo ni mzuri Kwa sababu hauna madhara"
Mimi sitaki mafundisho yako bhana, ninachojua Wizi ni wizi tuu! Hakuna wizi Mzuri, wizi ni Mbaya.
"Tatizo lako Taikon unajifanya Mjuaji lakini huna unachojua, sikiliza, wizi Mbaya ni ule wa wajinga, vipofu na wanyonge kuibiana. Huo wizi unamadhara kwao wenyewe Kwa sababu watauana au kupelekena jela na kufungana korokoroni,
Unajua Taikon wewe bado ni kijana mdogo, bado ni mchanga Sana kuna mambo huyajui, mjinga hawezi kujua anaibiwa na mwerevu, mjinga anaweza kujua anaibiwa na mjinga mwenzake, kipofu hawezi kuona anaibiwa na mwenye Macho yenye kuona, Ila atajua anaibiwa na kipofu mwenzake, hivyohivyo na Mnyonge hawezi kujua anaibiwa na Tajiri Ila atajua akiibiwa na mnyonge mwenzake"

Huwezi Kupata madhara ukiibia wajinga, vipofu na wanyonge. Hiyo Ipo hivyo. Pengine haihesabiki kuwa ni Wizi.

Nataka kukuambia Taikon, Mjinga anamheshimu mtu anayemuibia Kwa sababu hajui anaibiwa.
Kumuibia mjinga na kipofu ni rahisi Sana na inafurahisha Kwa sababu unamuibia alafu anakuona umebarikiwa na Mungu, anaona Mungu ndiye aliyekustawisha na kukujalia Maisha mazuri. Asijue wizi wako ndio umekunufaisha.

Ni rahisi kuwaibia Wajinga Kwa sababu zifuatazo;
1. Hawajui wanaibiwa.
2. Hawana umoja
Moja ya zile Sifa kuu za Watu wajinga Ni kukosa umoja. Hawawezi kuwa na umoja Kwa sababu wao ni wajinga, hawajui umuhimu wa umoja. Hahaha! Kwa hiyo wewe ukija ni kupiga tuu,
Wajinga Ni kama Preys ambao huwindwa na Predators. Wajinga Ni kama Kuku kwenye Banda wanaofugwa, ukiamua muda wowote unakamata unachinja unakula zako. Hawawezi kuungana kupingana na matatizo Yao. Hiyo ni tofauti na watu Werevu, wao ni Wamoja, watapambana kwa mbinu zozote ziwe za Amani au za hatari ili kulinda umoja wao kwani umoja wao ndio nguvu Yao.
3. Wanaamini katika majaliwa.
Wajinga Ni Watu wasiowajibika, wanaamini Maisha Yao yanaamuliwa na mhusika mwingine iwe anayeonekana au asiyeonekana.
Maisha mazuri kwao ni kama hisani.

Mimi bado sijakuelewa, maelezo mengi lakini hayaeleweki.
"Hakuna asiyekujua Taikon, wewe ni mbishi kama wale Watu wa kule ziwa Tanganyika, kama hujaelewa shauri yako. Nenda jela ukaone ni kina Nani wamefungwa Kwa kesi za wizi ili uelewe nikisemacho"

Mimi siwezi kuelewa chochote hapo. Wizi ni wizi. Hakuna wizi Mzuri. Come on!

ATI wadau huyu Mzee mnamuelewa? Mnakubaliana naye kuwa kuna wizi Mzuri na wizi Mbaya?

Nawatakia jumapili Njema!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi.
Kwa sasa Dar es salaam
Fasihi kweli ni kioo cha jamii. Na fasihi hii imejaa madini matupu, na huakisi jamii yetu kwa 100%. Wezi werevu ndiyo wale ambao "plea bargain" inawahusu hata wakikwapua mabilioni, sheria imepitishwa na watu werevu, na kuwaruhusu wakiri tu makosa yao, kisha watakadiriwa kiasi fulani warudishe, kisha maisha yaendelee.

Lakini mjinga mjinga akikwapua simu ama hata kuku, basi atapata kipigo kikali kutoka kwa wajinga wenzake eti wenye hasira kali, basi kifo kibaya kitamuhusu kwa kumwagiwa mafuta na kuchomwa moto akiwa hai huku taili likiwa shingoni mwake na kuungua pamoja naye.

Hasira kali hielekezwi kwa majizi makubwa ya rasilimali za umma, bali kwa vijizi uchwara. Tatizo la tuhuma za ufisadi mkubwa nchi kamwe haliwezi kupatiwa ufumbuzi, kwa kuwa hufanywa na "syndicate" na mtandao wa watu werevu na wenye kulindana.
 
Back
Top Bottom