tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 498
- Thread starter
-
- #21
1. Kuna scholarship za kumwaga. Omba ubalozi wa Japan. Ukifaulu, unaweza kuishi Japan baada ya masomo yako. Wanahitaji watu, raia hawazai.
2. Funga ndoa na Mjapani. Viza ya ndoa inakuruhusu kufanya kazi yoyote. Baada ya miaka 5, unapata "green card" ya Kijapani. Ukifaulu mtihani wa Uraia ( kwa kijapani) unapata pasipoti yao ukipenda.
3. Kazi za BOX zipo nyingi. Inahitaji elimu ya Kijapani. Wananchi wengi hawajui Kiingereza.
Wageni wachache sana, ila lugha ndiyo matatizo. Kuandika Kijapani ni balaa tupu lakini kuongea siyo tabu sana. Unaweza kujifunza mwenyewe katika mtandao.
4. Kodi hukatwi ndani ya kiasi hicho kama una watoto tu au umekopa kununua nyumba.
Kila la heri.
Duuuu nimefulahi sana kuja jamvini mtu kama wewe umetukaza akili ujue wabongo wengi hapa wangedanganywa na wanaojifanya wanajua, vp mkuu unamwaga point tokea wapi uko tokyo au bongo chafu