GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Beberu ni mbuzi dume.
Kinyume cha beberu ni mbuzi jike.
Ukitamka tu mbuzi inafahamika unamzungumzia mbuzi jike.
Viongozi wa Tanzania, hasa wa nrengo wa kijamaa, wamekuwa na kawaida ya kuziita nchi za Magharibi MABEBERU!
Kea kuwaita Wazungu Mabeberu, wao watakuwa wamejiweka kundi gani?
Nao Wazungu wakianza kuwaita mambuzi au makondoo watajisikiaje?
Kuwaita Wazungu Mabeberu si kujidhalilisha?
Kinyume cha beberu ni mbuzi jike.
Ukitamka tu mbuzi inafahamika unamzungumzia mbuzi jike.
Viongozi wa Tanzania, hasa wa nrengo wa kijamaa, wamekuwa na kawaida ya kuziita nchi za Magharibi MABEBERU!
Kea kuwaita Wazungu Mabeberu, wao watakuwa wamejiweka kundi gani?
Nao Wazungu wakianza kuwaita mambuzi au makondoo watajisikiaje?
Kuwaita Wazungu Mabeberu si kujidhalilisha?