kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Hii kamata kamata ya viongozi wa upinzani nchini inasaidiaje kuondoa umaskini? Je wanapopelekwa mahabusu wanatumika katika kufanya uzalishaji au wanakaa tu wakisubiri wapate dhamana au wahukumiwe? Lakini pia hii ipo kwenye ilani ya chama Cha mapinduzi au imeandikwa wapi kwamba ni.marufuku wapinzani kufanya siasa Tanzania?
Let assume huyo mtoa amri nafsi yake inafarijika akisikia katika utawala wake amekamata wapinzani wote na kuwatia ndani, je hii furaha yake inasaidiaje kutengeneza mshikamano na umoja wa Taifa? Tunakubaliana unaweza ukazaliwa na roho mbaya na kwamba hakuna namna roho yako mbaya itaondoka ukipewa madaraka makubwa kwa sababu wakukukanya watakuwa wachache au wasiwepo,ila unanufaikaje na hiyo roho ya kikatili? Mshahara wako unaongezeka? Miaka ya kuishi inaongezeka?
Wananufaikaje wanaotenda haya? Haiwekani kuongoza bila kunyanyasa wale unaowaongoza na familia zao? I'm confused, nini mtawala wa kiqfrika upata pale anapotumia madaraka kukandamiza familia za wasio na madaraka?
Let assume huyo mtoa amri nafsi yake inafarijika akisikia katika utawala wake amekamata wapinzani wote na kuwatia ndani, je hii furaha yake inasaidiaje kutengeneza mshikamano na umoja wa Taifa? Tunakubaliana unaweza ukazaliwa na roho mbaya na kwamba hakuna namna roho yako mbaya itaondoka ukipewa madaraka makubwa kwa sababu wakukukanya watakuwa wachache au wasiwepo,ila unanufaikaje na hiyo roho ya kikatili? Mshahara wako unaongezeka? Miaka ya kuishi inaongezeka?
Wananufaikaje wanaotenda haya? Haiwekani kuongoza bila kunyanyasa wale unaowaongoza na familia zao? I'm confused, nini mtawala wa kiqfrika upata pale anapotumia madaraka kukandamiza familia za wasio na madaraka?