Wengine ni wa kuhurumia tu.Kuna watu sura zimekunjamana ka tangawizi, shepu nalo kiazi mbatata kina unafuu......ila sasa kwa kupondea wenzao na kuwaita wabaya hawajambo!!! Kwani stara inauzwa sh. ngapi jamani??? Duh
Kuna gharama ya kuwa celebrity. Kupondwa hakuepukiki wala kukosolewa, la muhimu jambo la kuambiwa changanya na la kwako.Spotlight na cost zake.Ni sawa huku mitaani tunavopondana, wakati mwingine ni busara kupuuza baadhi ya mambo na kutoyapa uzito sana utaumwa kichwa.
Mwisho namalizia kwenye mabaya wakosolewe kwenye uzuri wapewe sifa zao.
Kuna gharama ya kuwa celebrity. Kupondwa hakuepukiki wala kukosolewa, la muhimu jambo la kuambiwa changanya na la kwako.Spotlight na cost zake.Ni sawa huku mitaani tunavopondana, wakati mwingine ni busara kupuuza baadhi ya mambo na kutoyapa uzito sana utaumwa kichwa.
Mwisho namalizia kwenye mabaya wakosolewe kwenye uzuri wapewe sifa zao.
Kuna gharama ya kuwa celebrity. Kupondwa hakuepukiki wala kukosolewa, la muhimu jambo la kuambiwa changanya na la kwako.Spotlight na cost zake.Ni sawa huku mitaani tunavopondana, wakati mwingine ni busara kupuuza baadhi ya mambo na kutoyapa uzito sana utaumwa kichwa.
Mwisho namalizia kwenye mabaya wakosolewe kwenye uzuri wapewe sifa zao.
Msanii ni kioo cha jamii, endapo atafanya kitu chochote kinyume basi jamii haitasita kukemea, unataka kusema habari zote zinazoripotiwa kuhusu mastaa ni uwongo? Wao wanatakiwa kujirekebisha kwanza na sio kuwatetea ujinga wao.
warumi
Wanajifanya wanaponda wakati wakisikia umbea wa celebrities mbio wanajazana kwenye uzi, na wao wangeacha kufuatilia habar za mastaa apo ata sisi tutakosa vya kuandika
Sikubaliani na mtoa mada kwa sababu mbili.Kwanza si watu famous wote wanaongelewa vibaya.Pili ni wao wanafanya Maisha yao binafsi kuwa ya kitaifa.
Ivi leo umepata mpenzi mpya ni lazima watu wajue eti kwa sbbb ni mashabiki wako? kuna wanaojifanya wana ya juu wakati ni omba omba na wakopaji wazuri kwa nin watu wasikuponde?
status ya mtu famous inategemeana na
life style yakef
Let me remind them, this is jamii forum, kuna majukwaa mengi tu humu including this forum, so chochote kinachoandikwa humu kipo mahali pake, na kumbuka kuna mods wanao control kila kitu humu, wao sio machizi, kila kinachoandikwa humu wanapima kulingana na vigezo vyao na ndio maana baadhi ya thread zinafutwa kabisa. Sasa naona kuna watu wanataka kuingilia kazi za watu, kama wamechoka kusikia habari za mastaa wahame, majukwaa yapo mengi tu, labda kama wawe ni secret admires, wanaponda umbea kumbe wenyewe ndo wa kwanza wanapenda
Em soma tena huo uzi mkuu, naona kama umekurupuka flani. . .Sijasema wasikemewe kwenye mabaya yao. . . Hebu rudia kusoma vizuri na mifano niliyotoa
Mkuu naona kama uzi umekugusa! Narudia tena, uzi unahusu pale mtu anapomkosoa celeb hali ya kuwa huyo katika hilo analokosoa huyo celeb ana unafuu kuliko huyo mkosoaji. . .Au kumzushia uongo celeb kwa makusudi. . .
Yani kwenye huu uzi, sijaona aliyetoa comment makini na iliyoenda shule kama wewe binamu? Ulisomea wapi binamu? Umetishaa
Mtoa mada hajasema kuwa hizo scandal uwa wanasingiziwa au vipi? Na hajasema baadhi ya ma celebrities ambao anaona kuwa wanaonewa au kuzushiwa
Binamu unajua ukiwa mmbeya lazima uwe na ma akili mengi sana; ujue gossip haijaanza leo wala jana.Celebritries ni watu ambao lazima wazungumzwe kwa mabaya na mazuri.Tena wakati mwingine wasipozungumziwa wanajitoa akili kufanya scandal ilo watajwe.Sasa tuanze kujizungumzia sisi who will be interested?
Yani kwa vile mie nna kipato kidogo nisimseme Lina ambaye aligombana na Naga afu akakimbia kama mkimbizi kisa sina makazi mazuri? Kwani kati yetu na wao nani anajiashua na maisha?
#Hapa ni umbea mwanzo mwisho
Aisee wewe umekuja kwa kasi na stress zako! Hivi unajua kinachoongelewa hapa?
Wapi kazi ya mods ilipoingiliwa?
Wapi tumesema watu wasipost mada za celebrities?
Wapi tumesema celebrities wasikosolewe?
Mbona unakurupuka tu mkuu? Kiwango chako cha uelewa kitakuwa kidogo sana@warumi
Binamu acha unafiki, si tunakuwaga wote wewe kwenye umbea? Kuna watu wa kuongea ila sio wewe bwana