warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Wengine ni wa kuhurumia tu.Kuna watu sura zimekunjamana ka tangawizi, shepu nalo kiazi mbatata kina unafuu......ila sasa kwa kupondea wenzao na kuwaita wabaya hawajambo!!! Kwani stara inauzwa sh. ngapi jamani??? Duh
Binamu acha unafiki, si tunakuwaga wote wewe kwenye umbea? Kuna watu wa kuongea ila sio wewe bwana