Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Hakika nadhani zile kauli za Viongozi kuwa MACHINGA WASIBUGUZIWE waacheni Wafanye Biashara popote na tukawatengenezea Vitambulisho vya kuwatambua na kuchukua Sh.20,000/= sasa Madhara yake ndio Yameanza kuonekana.
Watanzania TUACHE SIASA kwenye kila Kitu. Sasa hivi Machinga hapo Walipo ndipo Wanapopata Mkate wao wa kila Siku wao na Wazazi na Familia zao.
Kuwaondoa kwa HIARI na Kuwapeleka Maeneo Mengine itakuwa ngumu sana na kama Nguvu itatumika basi MADHARA yake ni MAKUBWA sana.
Tujifunze Kuwa na Utaratibu wa KUFUATA Sheria na Mipango sio kila kitu tunaweza Siasa ETI NI WAPIGA KURA WETU
Watanzania TUACHE SIASA kwenye kila Kitu. Sasa hivi Machinga hapo Walipo ndipo Wanapopata Mkate wao wa kila Siku wao na Wazazi na Familia zao.
Kuwaondoa kwa HIARI na Kuwapeleka Maeneo Mengine itakuwa ngumu sana na kama Nguvu itatumika basi MADHARA yake ni MAKUBWA sana.
Tujifunze Kuwa na Utaratibu wa KUFUATA Sheria na Mipango sio kila kitu tunaweza Siasa ETI NI WAPIGA KURA WETU