Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Unadhani wamachinga wote ni wajinga kutoielewa serikali na KANUNI WALIZOLETA KWA WANABIASHARA?!!!Khaa π²π²Wakome maana kipindi cha kampeni huwa wanatumika na CCM, baada ya hapo kila mtu apambane na hali yake
Hawana tofauti na weweUnadhani wamachinga wote ni wajinga kutoielewa serikali na KANUNI WALIZOLETA KWA WANABIASHARA?!!!Khaa π²π²
Hizo ni miongoni mwa faida za kudanganywa na kukubali kwa ugali wa siku moja, kama sii zile kofia za bure, t-shirt, madela na vingine vidogo vidogo vyevye rangi mbogamboga.Wakome maana kipindi cha kampeni huwa wanatumika na CCM, baada ya hapo kila mtu apambane na hali yake
Haya subiri wawapigie kura CHADEMA....π€£Hawana tofauti na wewe
Ni wajinga snHizo ni miongoni mwa faida za kudanganywa na kukubali kwa ugali wa siku moja, kama sii zile kofia za bure, t-shirt, madela na vingine vidogo vidogo vyevye rangi mbogamboga.
Si kila anayepinga ni CHADEMA babuHaya subiri wawapigie kura CHADEMA....π€£
ππππ Kwa hyo nchii hiii wamachinga ndo wanaamua Nani ashinde uchaguzi ???ππππHaya subiri wawapigie kura CHADEMA....π€£
Nimemjibu aliyetoa komenti...ππππ Kwa hyo nchii hiii wamachinga ndo wanaamua Nani ashinde uchaguzi ???ππππ