Kuwashwa mapajani!

leipzig

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
2,766
Reaction score
1,708
Limekuwa tatizo kubwa kwangu imefika wakati najikuna hadharani pasipo kujijua MziziMkavu funguka tafadhali!
 
Last edited by a moderator:
Limekuwa tatizo kubwa kwangu imefika wakati najikuna hadharani pasipo kujijua MziziMkavu funguka tafadhali!
Jaribu kujipaka maziwa ya mtindi hizo sehemu zinazo kuwasha na pia Kuna dawa inaaitwa SAFI nunuwa unywe insafisha damu na tumbo inshaallah upate nafu. Utapata maduka ya Wahindi na Supermarket. Nenda pia Hospitali kajiangalie huenda unayo Maradhi ya Allergy unakula baadhi ya vyakula havikutaki wewe mwilini mwako.
 

Yanavyonuka vibaya maziwa du..yahitaji moyo
 
Yanavyonuka vibaya maziwa du..yahitaji moyo
Si ndio maana ikaitwa dawa kuna dawa inayonukia vizuri?

Dawa ingine ya Muwasho siyo lazima uwe wa mwili tu, bali kuna sehemu mbalimbali za mwili ambazo

zimejificha na fangasi uenda kujihifadhi katika sehemu hizo nazo unaweza kutumia maji ya aloe vera kwa

kutibu . Kwa jinsi gani unaweza kujizuia au kujitibu na muwasho kwa kutumia aloe vera. Jinsi ya kuandaa maji

ya Aloe vera kwa ajili ya kutoa muwasho na bateria.
Chukuwa vikwanya vitano vya alovera kisha safisha kwa

maji safi, kata vipande hivyo kwenye sufuria ya kilo moja. Jaza maji kisha uweke jikono kwa ajili ya

kuchemka. Epua na uyaweke pembeni kwa ajili ya kpoa aukuwa na hali ya uvuguvugu. Toa majani ya

aloe vera katika sufuria na kisha weka katika ndoo tayari kwa kuonga.



Angalizo


Baada ya kuoga unatakiwa kukaa na maji hayo mpaka yatakapo kauka mwilini pia ni dawa ya harara na kufanya ngozi kuwa nyororo. Angalia Picha chini ya Aloe Vera.
 

Attachments

  • edb70b88e863bea77599a0bb4d40814636c2a55701b0fcc9bc30f02ec3a8ef1e8d28c69c812bbf9a87bcca75a2d9dfab.jpg
    15 KB · Views: 437
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…