Hapa JF madaktari wa kweli mara nyingi hawatoi ushauri, ni mara moja moja sana. Sana sana sisi ma-quacks ndio tutakupa ushauri ambao unaweza usiwe sahihi. Kama upo serious na afya yako, nenda hospitali.
Hapa JF madaktari wa kweli mara nyingi hawatoi ushauri, ni mara moja moja sana. Sana sana sisi ma-quacks ndio tutakupa ushauri ambao unaweza usiwe sahihi. Kama upo serious na afya yako, nenda hospitali.