Kuwashwa mwili

Miss trinity

Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
95
Reaction score
24
Nawashwa mwilini na nikijikuna kunatokea uvimbe mfano wa vipele but vinakuwa vigumu na vinawasha sana.

Je huu ni ugonjwa gani? Au ni tatizo gani?
 
Hapa JF madaktari wa kweli mara nyingi hawatoi ushauri, ni mara moja moja sana. Sana sana sisi ma-quacks ndio tutakupa ushauri ambao unaweza usiwe sahihi. Kama upo serious na afya yako, nenda hospitali.
 
Hapa JF madaktari wa kweli mara nyingi hawatoi ushauri, ni mara moja moja sana. Sana sana sisi ma-quacks ndio tutakupa ushauri ambao unaweza usiwe sahihi. Kama upo serious na afya yako, nenda hospitali.

Thx my dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…