masubo tapta
Member
- May 17, 2014
- 7
- 5
Jamani kama kuna yoyote ambaye aliwahi kupata tatizo la kuwashwa na kuvimba mwili na akapona kabisa atuelekekeze wenzie kwani tumeangaika sana hospitali tukiambie tuache kula vitu mbalimbali lakini haijasaidia sasa hivi tunapoza tu na cetrizene tupo watatu hapa iringa kesi yetu inafanana, msaada chonde chonde.