Kuwashwa sehemu ya haja kubwa

year 2006

Member
Joined
Jan 14, 2016
Posts
87
Reaction score
57
Habari ya asubuhi, nimepatwa na tatizo la kuwashwa njia ya haja kubwa hadi inafikia siwezi kutembea umbali mrefu. Nimejaribu baadhi ya dawa shida bado ipo pale pale naombeni msaada.
 
jinsia gani ili tuweze kukupa dawa ya jinsia yko
 
Anaye fahamu amsaidie mbona mnazingua tena aiko powa...
 
oya mnaleta mambo ya kifala humu.. jinsia yake inashabihiana nini na tiba.. acheni ufala kama hujui tiba pita kimya
 
Tumia Gentrisone inatosha. Hiyo ni fungal infection. Gentrisone consists of Betamethasone Dipropionate ,
Clotrimazole , Gentamicin Sulfate
 
Habari ya asubuhi, nimepatwa na tatizo la kuwashwa njia ya haja kubwa hadi inafikia siwezi kutembea umbali mrefu. Nimejaribu baadhi ya dawa shida bado ipo pale pale naombeni msaada.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…