Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ndo hapo ninaposema uende hospitali maana huko wanajuwa antibayotiki gani wakupe... ILA KUMBUKA KUWA UKIMWI HAUNA ANTIBAYOTIKINami nahisi amefanya hivyo hivi hakuna antibiotics naweza tumia?
Kama alipitia pale kimboka jiandae kununua mapafyumu ya kukata harufuHuwa hatumii ndomu kwani tukizitumia nawashwa sana ila kabla hali ilikuwa nzuri nahisi alipiga mechi ya mchangani
Basi litakua gono hilo.........kapime na usirudie tena kwenda tupu tupuuHapana hatukutumia zana
Hapana Dada sio allergy kuna Wanaume wakishusha mzigo ndani ya mkebe lazima ku kuwashwa au wengine kunuka,
Kila binadamu ana yake hata harufu ya mwili au kikwapa tuna tofauti
Kuna dada alishaniuliza kwanini akikutana na kaka yule lazima mzigo wake unamuwasha? sikuamini hadi leo ktk thread hii
Mimi kuna mtoto wa kiTanga miaka ya 90' tulichangia na jamaa mmoja bila kujua na kila nikiingia natoka na muwasho na kausaha, nikimuhoji anasema mbona wenzako hawalalamiki? ilibidi nimuache na mpaka alipata mtoto bila kutumia dawa yoyote
Wanabodi mwenzenu nawashwa sana ukeni ni baada ya kukutana kimwili na mpenzi wangu peku. Nimejaribu kujiswafi na detto ila bado muwasho upo.naomba mnielekeze dawa za kutumia kuondokana na hili tatizo.
Kavukavu tumekutana mara nyingi bila tatizo ila alisafiri aliporudi tumegegedana na ndiyo nikaanza kuwashwa
Binafsi sikushauri utumie ma dk pori kwa tatizo lako ni vyema ukaenda hosp na ni vyema pia mwende pamoja kwa kuwa huna sababu ya kuwa na wasi wasi na tatizo lililoletwa na mpenzi wako.Asante hizo antibiotics zaitwaje?