Kuwasilisha inquest coroner’s court

Kuwasilisha inquest coroner’s court

Saljiv

Member
Joined
Feb 19, 2009
Posts
16
Reaction score
7
Je mimi kama raia, naweza/naruhusiwa kwenda RM-Mahakamani na mwanasheria wangu, na kuwasilisha mahakamani ombi la inquest kwa kifo ambacho nahisi kama kuna foul play either huku uraiani au in official custody ?
 
Je mimi kama raia, naweza/naruhusiwa kwenda RM-Mahakamani na mwanasheria wangu, na kuwasilisha mahakamani ombi la inquest kwa kifo ambacho nahisi kama kuna foul play either huku uraiani au in official custody ?

Mwenye mamlaka ya kuwasilisha ombi la kufanyika uchunguzi wa kifo ni:

1. Coroner chini ya kifungu 6 ( 1) cha sheria za uchunguzi wa kifo
2. Appropriate authority chini ya kifugu 6 ( 2) cha sheria hiyohiyo
3. DPP chini ya kifungu cha 18 cha sheria hiyo.

Appropriate Authority ni nani? Kifungu 2 cha sheria hiyo ambacho ni kifungu cha ufafanuzi kwenye sheria hiyo kinasema: "appropriate authority" means the person appointed by the Minister to be the appropriate authority for the purposes of this Act;
 
tafsiri ya kiswahili ni mtaalamu aneyechunguza kifo cha mashaka ( duh ) sijui kama niko sahihi kwa mfano mtu amefariki kwa sababu ambazo sio za kawaida ( unnatural) na polisi katika uchunguzi wao wanashindwa kulink kifo hicho na au hawataki kumpeleka mtu mahakamani kutokana na kifo hicho watu waliotajwa kwenye post namba mbili wanaweza kuanzisha proceedings kuhusiana na kifo hicho.

Mfano halisi na mzuri ni wa watu waliokufa nyamongo, wale watu hawakufa kifo cha kawaida, walipigwa risasi basi ni lazima kuna mtu alipiga hizo risasi huyo mtu aliyepiga hizo risasi anatakiwa kupelekwa mahakamani. Kwa sababu polisi, kwa sababu wanazozijua moja hawataki kuwapeleka mahakamani basi hapo ndipo uchunguzi wa vifo hivyo inabidi ufanywe na coroner na chombo kinachosikiliza kinaitwa coroners court na mwenendo wote unaitwa inquest.
 
Back
Top Bottom