NGO iliyopo Zanzibar inapokea na kuwatibu walioathirika na madawa, bangi, unga, pombe n.k. Kwa maelezo zaidi tumia namba hii, 0716121313.
Ada ni laki 2 kwa mwezi. Malazi, chakula, matibabu, masomo ni juu yetu. Atapata nafuu na kurudi katika jamii akiwa kijana wa kutegemewa katika taifa. Walioathirika na madawa huwa wako na psychiatric problem, wanatibika.