crecknerz
Member
- May 7, 2014
- 88
- 12
NGO iliyopo Zanzibar inapokea na kuwatibu walioathirika na madawa, bangi, unga, pombe n.k. Kwa maelezo zaidi tumia namba hii, 0716121313.
Ada ni laki 2 kwa mwezi. Malazi, chakula, matibabu, masomo ni juu yetu. Atapata nafuu na kurudi katika jamii akiwa kijana wa kutegemewa katika taifa. Walioathirika na madawa huwa wako na psychiatric problem, wanatibika.
Ada ni laki 2 kwa mwezi. Malazi, chakula, matibabu, masomo ni juu yetu. Atapata nafuu na kurudi katika jamii akiwa kijana wa kutegemewa katika taifa. Walioathirika na madawa huwa wako na psychiatric problem, wanatibika.