Kuwe na "Kifungu cha Kuhonga" kwenye bajeti zetu?

Kuwe na "Kifungu cha Kuhonga" kwenye bajeti zetu?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Jana nilipata laki 5 ambayo haikuwa kwenye bajeti. Nikasema vyovyote iwavyo namtumia maza laki 3 azibe magepu ya Januari. Sasa kuna mtoto mmoja nilimpa namba hakuwahi kunipigia. Nilivyopata tu hela shetani akaingia kazini. Jioni naisikia simu namba ngeni naulizwa uko wapi nije.

Mtoto akanikuta hotel. Akala vyombo kama vya 20 hivi na uchafu mwingine ukafanyika. Sasa namuachaje najikuta akiba yangu imekata. Ila kuna ile laki 3 ya maza kwenye mkoba nilipanga nimtumie kesho afurahi. Ikabidi nichomoe 30k kwenye pesa ya maza kumpoza mtoto.

Ninajiona fala kushindwa kujimudu dhidi ya hawa watoto wazuri. Nikilemaa kuna siku nitahonga hela ya mtaji au mahitaji ya familia. Nyie wenzangu mnawamudu vipi?

Kwa muktadha huu je kuna haja ya kuwa na kifungu cha kuhonga kwenye bajeti zetu?!
 
Jana nilipata laki 5 ambayo haikuwa kwenye bajeti. Nikasema vyovyote iwavyo namtumia maza laki 3 azipe magepu ya Januari. Sasa kuna mtoto mmoja nilimpa namba hakuwahi kunipigia. Nilivyopata tu hela shetani akaingia kazini. Jioni naisikia simu namba ngeni naulizwa uko wapi nije. Mtoto akanikuta hotel. Akala vyombo kama vya 20 hivi na uchafu mwingine ukafanyika. Sasa namuachaje najikuta akiba yangu imekata. Ila kuna ile laki 3 ya maza kwenye mkoba nilipanga nimtumie kesho afurahi. Ikabidi nichomoe 30k kwenye pesa ya maza kumpoza mtoto.

Ninajiona fala kushindwa kujimudu dhidi ya hawa watoto wazuri. Nikilemaa kuna siku nitahonga hela ya mtaji au mahitaji ya familia. Nyie wenzangu mnawamudu vipi?

Kwa muktadha huu je kuna haja ya kuwa na kifungu cha kuhonga kwenye bajeti zetu?!
Kuna mambo mengi sana yanakula hela zetu lakini hatuyaweki kwenye bajeti zetu..!! Mtu kila siku unakula bia na kitimoto, lakini bajeti yako haina hayo makitu..! Hatuna uhalisia whet it comes to budgeting.

Njia mojawapo ya kuepuka kutumia hela sehemu ambazo hukupanga, ni kwamba, mara tu baada ya kuandika bajeti yako, anza utekelezaji mara moja. Hii ya kusema hili nitalifanya kesho, wiki ijayo au wakati mwingine, matokeo yake tunafanya embezzlement of funds. Yaani unabadilisha matumizi ya fedha na kuyapeleka ambako hukupanga kabla.
 
Jana nilipata laki 5 ambayo haikuwa kwenye bajeti. Nikasema vyovyote iwavyo namtumia maza laki 3 azipe magepu ya Januari. Sasa kuna mtoto mmoja nilimpa namba hakuwahi kunipigia. Nilivyopata tu hela shetani akaingia kazini. Jioni naisikia simu namba ngeni naulizwa uko wapi nije. Mtoto akanikuta hotel. Akala vyombo kama vya 20 hivi na uchafu mwingine ukafanyika. Sasa namuachaje najikuta akiba yangu imekata. Ila kuna ile laki 3 ya maza kwenye mkoba nilipanga nimtumie kesho afurahi. Ikabidi nichomoe 30k kwenye pesa ya maza kumpoza mtoto.

Ninajiona fala kushindwa kujimudu dhidi ya hawa watoto wazuri. Nikilemaa kuna siku nitahonga hela ya mtaji au mahitaji ya familia. Nyie wenzangu mnawamudu vipi?

Kwa muktadha huu je kuna haja ya kuwa na kifungu cha kuhonga kwenye bajeti zetu?!
Wanaita Girlfriend Allowance(GFA)

Muhimu iwepo
 
Kuna mambo mengi sana yanakula hela zetu lakini hatuyaweki kwenye bajeti zetu..!! Mtu kila siku unakula bia na kitimoto, lakini bajeti yako haina hayo makitu..! Hatuna uhalisia whet it comes to budget.

Njia mojawapo yakuepuka kutumia hela sehemu ambazo hukupanga, nimara tu baada ya kuandika bajeti yak, anza utekelezaji mara moja. Hii ya kusema hili nitafanya kesho, matokeo yake tunafanya embezzlement of funds. Yaani unabadilisha matumizi ya fedha na kuyapeleka ambako hukupanga
Umeandika kitaalamu sana. Huo ndio ukweli
 
Binafsi kipengele Cha kuhonga kipo,

Wanawake wasafi, warembo,quality na classic kunako 6×6 Ni wachache sana na wanagombania mno.

Bilakupigana Vita ya kiuchumi kiuchumi,
Yaan kuhonga,kumpata itabaki kua real life dream.

Hakuna mwanamke anaejielewa Alie katika standards za kueleweka na peak ya kugombewa kwa utamu wake, Utamla bure bure na kesho arudi akupe utamu Tena.

Mfano mzuri:
Ni Tally Hunter,pale mikocheni

Wkt Kuna mabinti wanajiuza kwa elfu 10 au elfu 30 USIKU mzima, na wateja hamna mpk wanashusha bei.

Yeye tally anauza Dolla 100 kwa lisaa TU,
Ambalo Hata linaisha Hata tendo lenyewe au fpreplay hamjaanza, bado mko Kwny kuoga na kupakana mafuta tu[emoji38].

Na ukimhitaji Tally Lazima ufanye booking mapema,Ukilipia leo utasubiri wik had wiki 2 kukutana nae maana foleni yake sio ya kitoto. Miezi ya watalii, Hata mwezi utamsubiri mpk zamu yako ifike.

Na watu kibao wanakomaa na nyeg zao wanasubiri [emoji1787]
 
Back
Top Bottom