Kuwe na mijadala ya kitaifa kuhusu masuala yanayotatiza ustawi wa watu wetu

Kuwe na mijadala ya kitaifa kuhusu masuala yanayotatiza ustawi wa watu wetu

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Kwa wafuatiliaji mtakubaliana na mimi kuwa kauli ya Rostam imezua mijadala sehemu mbali mbali. Kauli yake ni moja ya issue sensitive zinazotugusa sisi masikini.

Tanzania si kisiwa , ni kati ya kundi la chi zilizoko bara letu la Africa .bara ambalo linastruggle kutumia rasilimali zake kwa manufaa ya watu wake, kaka mkuu ikiwa congo.

Kama kuna mambo ambayo tunafail sisi waafrika ni kujijali kabla ya kuwajali wageni. Kila issue inayomhusisha mgeni lazima mwafrica abaki kugugumia. Ukweli hatustahili kuishi kwenye ufukara tunaouona.

Ushauri wangu ni ili tuyamudu baadhi ya mambo ambayo ni obvious hatuyamudu tujaribuni kuyakabili kwa ujumla wetu .issue ya wachina kumwagika na kulima nyanya, kuuza simu,kufanya umachinga kwa kigezo cha uwekezaji ni complete failure ya watunga sera wetu na viongozi.

Basi tuweni na mijadala ya kitaifa kuyakabili mambo ambayo yanaonekana yako nje na uwezo wa viongozi wetu kwani ni kama failure ya mwafrica ila kwa pamoja tunayaweza otherwise atokee mtu mwenye unique ideology ndo itakuwa pona yetu vinginevyo huu ufukara utakuwa vicious cycle ya mtu mweusi mpaka mwisho wa dunia.
 
Ushauri wangu ni ili tuyamudu baadhi ya mambo ambayo ni obvious hatuyamudu tujaribuni kuyakabili kwa ujumla wetu issue ya wachina kumwagika na kulima nyanya, kuuza simu, kufanya umachinga kwa kigezo cha uwekezaji ni complete failure ya watunga sera wetu na viongozi. [emoji1752][emoji1545]
 
Tuna shida moja kama taifa; MAONO

Ni kama vile hatuna maono ama maono yetu ni kimo cha mbilikimo... Hatufanyi kitu kimoja kwa wakati mmoja ili kitimie na kutumika wakati wote.. Mapato tunayopoteza kwa kurudiarudia kufanya vitu kwa viwango hafifu, vinaliumiza sana taifa

Uzalendo; Niseme wazi hatuna uzalendo ama bado hautoshi au hatujafundishwa kuipenda nchi yetu katika uhalisia wake. Kila mtu kila mahali kwenye lolote na kwenye chochote hatangulizi maslahi ya taifa mbele bali hutanguliza maslahi yake binafsi kwanza! Atapata nini kwenye nini.... Sio taifa litapata nini...!
Huu udhaifu wachina wageni wameutumia vizuri sana na kwakweli wanatuona tulivyo wapuuzi na wapumbavu hasa.. Tuko tayari kumsaidia mgeni kukwepa kodi kuliko kulisaidia taifa lisikose mapato

Kuwekeza zaidi kwenye siasa na kuipa thamani kubwa kuliko taaluma!
Kama kuna mahali tulikosea, tuliyumba na kuchemsha ni kwenye hili eneo, unapoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma tambua
Umeua maono ya nchi
Umeua uzalendo wa nchi
Umeua uwajibikaji
Umeaua morari
Umeua taaluma
Umeua weledi nknk
Leo hii mwanasiasa asiye na taaluma yoyote kichwani ana nguvu na ukwasi kuliko
Dr. Bingwa
Bwana shamba
Mwalimu
Mkulima nk
AFYA, SIHA NJEMA NA ELIMU hivi ndio vitu vinavyoheshimiwa popote panapohitaji maendeleo lakini leo hii sisi wanataaluma wetu kwenye hayo maeneo wako hoi na wana dhiki huku wanasiasa wasiojua chochote wakiishi kama wafalme

Tuiondolee siasa thamani iliyonayo kwasasa kwa kuanza kufanya yafuatayo
Ujira, maslahi na marupurupu ya mbunge visizidi vya mwana taaluma yoyote wa kaliba ya kati
Bunge lisiwe ajira ya kudumu, na malipo yao yawe pale wanapohudhuria vipindi vya bunge na yalingane na watendaji wa kawaida serikalini
Mishahara minono na maslahi yaliyovimbiwa kwa mawaziri vipigwe chini vyote hivi.. Mtu alipwe vizuri kulingana na kiwango chake cha elimu na si nafasi yake kisiasa

Hayo mambo ya kuipa siasa nguvu na thamani ndio yametuletea vipaumbele vya ajabu mno.. Leo jengo la sayansi na teknolojia linapumulia mashine lakini tumewekeza mabilioni kujenga ikulu nyingine
Leo tunajivunia kuwa na binge bora na zuri (kwa maana ya jengo) kuliko mengine yote Afrika.. Huku wananchi wa hilo eneo wakitaabika na vifaa tiba, elimu maji nk.. Hivi zinatutosha kweli sisi!?
 
Wasomi wakiheshimishwa na taaluma ikapewa thamani yake inayostahili, mindset zitabadilika na upuuzi kama huu utakoma
IMG-20221025-WA0164.jpg
 
Tuna shida moja kama taifa; MAONO

Ni kama vile hatuna maono ama maono yetu ni kimo cha mbilikimo... Hatufanyi kitu kimoja kwa wakati mmoja ili kitimie na kutumika wakati wote.. Mapato tunayopoteza kwa kurudiarudia kufanya vitu kwa viwango hafifu, vinaliumiza sana taifa

Uzalendo; Niseme wazi hatuna uzalendo ama bado hautoshi au hatujafundishwa kuipenda nchi yetu katika uhalisia wake. Kila mtu kila mahali kwenye lolote na kwenye chochote hatangulizi maslahi ya taifa mbele bali hutanguliza maslahi yake binafsi kwanza! Atapata nini kwenye nini.... Sio taifa litapata nini...!
Huu udhaifu wachina wageni wameutumia vizuri sana na kwakweli wanatuona tulivyo wapuuzi na wapumbavu hasa.. Tuko tayari kumsaidia mgeni kukwepa kodi kuliko kulisaidia taifa lisikose mapato

Kuwekeza zaidi kwenye siasa na kuipa thamani kubwa kuliko taaluma!
Kama kuna mahali tulikosea, tuliyumba na kuchemsha ni kwenye hili eneo, unapoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma tambua
Umeua maono ya nchi
Umeua uzalendo wa nchi
Umeua uwajibikaji
Umeaua morari
Umeua taaluma
Umeua weledi nknk
Leo hii mwanasiasa asiye na taaluma yoyote kichwani ana nguvu na ukwasi kuliko
Dr. Bingwa
Bwana shamba
Mwalimu
Mkulima nk
AFYA, SIHA NJEMA NA ELIMU hivi ndio vitu vinavyoheshimiwa popote panapohitaji maendeleo lakini leo hii sisi wanataaluma wetu kwenye hayo maeneo wako hoi na wana dhiki huku wanasiasa wasiojua chochote wakiishi kama wafalme

Tuiondolee siasa thamani iliyonayo kwasasa kwa kuanza kufanya yafuatayo
Ujira, maslahi na marupurupu ya mbunge visizidi vya mwana taaluma yoyote wa kaliba ya kati
Bunge lisiwe ajira ya kudumu, na malipo yao yawe pale wanapohudhuria vipindi vya bunge na yalingane na watendaji wa kawaida serikalini
Mishahara minono na maslahi yaliyovimbiwa kwa mawaziri vipigwe chini vyote hivi.. Mtu alipwe vizuri kulingana na kiwango chake cha elimu na si nafasi yake kisiasa

Hayo mambo ya kuipa siasa nguvu na thamani ndio yametuletea vipaumbele vya ajabu mno.. Leo jengo la sayansi na teknolojia linapumulia mashine lakini tumewekeza mabilioni kujenga ikulu nyingine
Leo tunajivunia kuwa na binge bora na zuri (kwa maana ya jengo) kuliko mengine yote Afrika.. Huku wananchi wa hilo eneo wakitaabika na vifaa tiba, elimu maji nk.. Hivi zinatutosha kweli sisi!?
Una mawazo mazuri mzee baba lakini utekelezaji wake katika ardhi hii ni ngumu sana.Haitowahi kutokea hivi karibuni labda kije kizazi kingine tena. Uwekezaji katika siasa katika nchi ni mkubwa sana ndo maana yoyote anayejaribu kuhoji au kugusa maslahi yao hawezi kuwa salama.
 
Una mawazo mazuri mzee baba lakini utekelezaji wake katika ardhi hii ni ngumu sana.Haitowahi kutokea hivi karibuni labda kije kizazi kingine tena. Uwekezaji katika siasa katika nchi ni mkubwa sana ndo maana yoyote anayejaribu kuhoji au kugusa maslahi yao hawezi kuwa salama.
Ndio maana tunapambana kufa na kupona kila uchao ili tupate katiba mpya
 
Tuna shida moja kama taifa; MAONO

Ni kama vile hatuna maono ama maono yetu ni kimo cha mbilikimo... Hatufanyi kitu kimoja kwa wakati mmoja ili kitimie na kutumika wakati wote.. Mapato tunayopoteza kwa kurudiarudia kufanya vitu kwa viwango hafifu, vinaliumiza sana taifa

Uzalendo; Niseme wazi hatuna uzalendo ama bado hautoshi au hatujafundishwa kuipenda nchi yetu katika uhalisia wake. Kila mtu kila mahali kwenye lolote na kwenye chochote hatangulizi maslahi ya taifa mbele bali hutanguliza maslahi yake binafsi kwanza! Atapata nini kwenye nini.... Sio taifa litapata nini...!
Huu udhaifu wachina wageni wameutumia vizuri sana na kwakweli wanatuona tulivyo wapuuzi na wapumbavu hasa.. Tuko tayari kumsaidia mgeni kukwepa kodi kuliko kulisaidia taifa lisikose mapato

Kuwekeza zaidi kwenye siasa na kuipa thamani kubwa kuliko taaluma!
Kama kuna mahali tulikosea, tuliyumba na kuchemsha ni kwenye hili eneo, unapoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma tambua
Umeua maono ya nchi
Umeua uzalendo wa nchi
Umeua uwajibikaji
Umeaua morari
Umeua taaluma
Umeua weledi nknk
Leo hii mwanasiasa asiye na taaluma yoyote kichwani ana nguvu na ukwasi kuliko
Dr. Bingwa
Bwana shamba
Mwalimu
Mkulima nk
AFYA, SIHA NJEMA NA ELIMU hivi ndio vitu vinavyoheshimiwa popote panapohitaji maendeleo lakini leo hii sisi wanataaluma wetu kwenye hayo maeneo wako hoi na wana dhiki huku wanasiasa wasiojua chochote wakiishi kama wafalme

Tuiondolee siasa thamani iliyonayo kwasasa kwa kuanza kufanya yafuatayo
Ujira, maslahi na marupurupu ya mbunge visizidi vya mwana taaluma yoyote wa kaliba ya kati
Bunge lisiwe ajira ya kudumu, na malipo yao yawe pale wanapohudhuria vipindi vya bunge na yalingane na watendaji wa kawaida serikalini
Mishahara minono na maslahi yaliyovimbiwa kwa mawaziri vipigwe chini vyote hivi.. Mtu alipwe vizuri kulingana na kiwango chake cha elimu na si nafasi yake kisiasa

Hayo mambo ya kuipa siasa nguvu na thamani ndio yametuletea vipaumbele vya ajabu mno.. Leo jengo la sayansi na teknolojia linapumulia mashine lakini tumewekeza mabilioni kujenga ikulu nyingine
Leo tunajivunia kuwa na binge bora na zuri (kwa maana ya jengo) kuliko mengine yote Afrika.. Huku wananchi wa hilo eneo wakitaabika na vifaa tiba, elimu maji nk.. Hivi zinatutosha kweli sisi!?

Mchango kuntu kabisa.
 
Tuna shida moja kama taifa; MAONO

Ni kama vile hatuna maono ama maono yetu ni kimo cha mbilikimo... Hatufanyi kitu kimoja kwa wakati mmoja ili kitimie na kutumika wakati wote.. Mapato tunayopoteza kwa kurudiarudia kufanya vitu kwa viwango hafifu, vinaliumiza sana taifa

Uzalendo; Niseme wazi hatuna uzalendo ama bado hautoshi au hatujafundishwa kuipenda nchi yetu katika uhalisia wake. Kila mtu kila mahali kwenye lolote na kwenye chochote hatangulizi maslahi ya taifa mbele bali hutanguliza maslahi yake binafsi kwanza! Atapata nini kwenye nini.... Sio taifa litapata nini...!
Huu udhaifu wachina wageni wameutumia vizuri sana na kwakweli wanatuona tulivyo wapuuzi na wapumbavu hasa.. Tuko tayari kumsaidia mgeni kukwepa kodi kuliko kulisaidia taifa lisikose mapato

Kuwekeza zaidi kwenye siasa na kuipa thamani kubwa kuliko taaluma!
Kama kuna mahali tulikosea, tuliyumba na kuchemsha ni kwenye hili eneo, unapoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma tambua
Umeua maono ya nchi
Umeua uzalendo wa nchi
Umeua uwajibikaji
Umeaua morari
Umeua taaluma
Umeua weledi nknk
Leo hii mwanasiasa asiye na taaluma yoyote kichwani ana nguvu na ukwasi kuliko
Dr. Bingwa
Bwana shamba
Mwalimu
Mkulima nk
AFYA, SIHA NJEMA NA ELIMU hivi ndio vitu vinavyoheshimiwa popote panapohitaji maendeleo lakini leo hii sisi wanataaluma wetu kwenye hayo maeneo wako hoi na wana dhiki huku wanasiasa wasiojua chochote wakiishi kama wafalme

Tuiondolee siasa thamani iliyonayo kwasasa kwa kuanza kufanya yafuatayo
Ujira, maslahi na marupurupu ya mbunge visizidi vya mwana taaluma yoyote wa kaliba ya kati
Bunge lisiwe ajira ya kudumu, na malipo yao yawe pale wanapohudhuria vipindi vya bunge na yalingane na watendaji wa kawaida serikalini
Mishahara minono na maslahi yaliyovimbiwa kwa mawaziri vipigwe chini vyote hivi.. Mtu alipwe vizuri kulingana na kiwango chake cha elimu na si nafasi yake kisiasa

Hayo mambo ya kuipa siasa nguvu na thamani ndio yametuletea vipaumbele vya ajabu mno.. Leo jengo la sayansi na teknolojia linapumulia mashine lakini tumewekeza mabilioni kujenga ikulu nyingine
Leo tunajivunia kuwa na binge bora na zuri (kwa maana ya jengo) kuliko mengine yote Afrika.. Huku wananchi wa hilo eneo wakitaabika na vifaa tiba, elimu maji nk.. Hivi zinatutosha kweli sisi!?
Salute kwako. Naked truth
 
Back
Top Bottom