Picha linaanza una familia ya watoto wanne na kuendelea
👉Umepanga chumba na sebule
70k-100k kwa mwezi
👉Usafiri wa kazini 3000 Kila siku
👉Chakula 200k (angalau ili upate mlo standard) kwa mwezi
👉Bado umeme(10k), maji
👉Huna malupulupu
Kuweka akiba kwa mtu anayeingiza 450k kwa mwezi ni kujitesa!
👉 Ruksa kwa maoni na pingamizi
👉Umepanga chumba na sebule
70k-100k kwa mwezi
👉Usafiri wa kazini 3000 Kila siku
👉Chakula 200k (angalau ili upate mlo standard) kwa mwezi
👉Bado umeme(10k), maji
👉Huna malupulupu
Kuweka akiba kwa mtu anayeingiza 450k kwa mwezi ni kujitesa!
👉 Ruksa kwa maoni na pingamizi