Pia joseph kussagaHuo ni ukale mcheki Mo dewji yupo active sana kwenye mitandao ya kijamii wanaosema hivo ni wale vijiba roho.
Daaah mkuu bado ulikua 90s karibu.Mwezi uliopita ndio ninejua status Nini, Nilikua najua ndio profile pic
Na watsup nimeanza kuitumia enzi hizo za Nokia E72(Symbian).
Nilikua 90's kivipi boss?Daaah mkuu bado ulikua 90s karibu.
DoooohWatu wapo gerezani na wanaweka status sembuse sisi wa uraiani
Heeee kwamba sisi waeka status tunajichoresha au?Kujichoresha tu
Mimi baada ya kujua status Ni Nini,nilitumia Kama siku 3 hivi ku-observe watu hua wanapost Nini.Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Itakua anajiunga MB mojaKuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Ushamba tuu....huku mamtoni mawaziri hadi marais kutwa wapo kwenye social media. Hao waturutumbi wapo nyuma sana 🤣 🤣 🤣 🤣Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee