Kupitia Whatsapp utajua watu smart na Hawa wenzangu na Mimi
1. Mtu smart huwezi mkuta kaweka DP ya picha yake Whatsapp
2. Mtu smart huwezi kuta anaweka mastatus mara kwa mara na akiweka basi ujue ni jambo muhimu sana ambalo anataka kufikisha ujumbe kwa njia hiyo
3. Mtu smart hana muda wa ku view status za watu, ila hapa Kuna wa aina 2 Kuna ambao Hawa view kabisa na Kuna wale ambao wana view lakini wakiona unapost pumba au unajipost sana wanakukataa Hawa view tena
Wale wenzangu na Mimi wanaenda kinyume chake