Kuweka au Kutokuweka WhatsApp status: Kuna uhusiano na mtu kuwa smart, msomi au tajiri?

Kuweka au Kutokuweka WhatsApp status: Kuna uhusiano na mtu kuwa smart, msomi au tajiri?

Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.

Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview

Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??

Bado nawashangaaa aisee
Childish stuff.
 
Kupitia Whatsapp utajua watu smart na Hawa wenzangu na Mimi

1. Mtu smart huwezi mkuta kaweka DP ya picha yake Whatsapp

2. Mtu smart huwezi kuta anaweka mastatus mara kwa mara na akiweka basi ujue ni jambo muhimu sana ambalo anataka kufikisha ujumbe kwa njia hiyo

3. Mtu smart hana muda wa ku view status za watu, ila hapa Kuna wa aina 2 Kuna ambao Hawa view kabisa na Kuna wale ambao wana view lakini wakiona unapost pumba au unajipost sana wanakukataa Hawa view tena

Wale wenzangu na Mimi wanaenda kinyume chake
Namba moja sio kweli DP na smartness ya mtu wapi na wapi
 
Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Mimi na uzee wangu kwenye status unikuti ila JF mimi ni mteja haswa.
 
Sasa wewe kwakua kusaga na Mo ameweka ...na wewe unaweka ....!

Huna sababu zako binafsi za kuweka au kuto weka..!!


Kama huna sababu ya kuweka sio lazima...

Kama ipo sawa weka...



Mi binafsi sio mpenzi wa status, sioni sababu ya kuweka ... Najiulizaga niweke kwa nini?

Najikunta sina jibu naacha. Na huo muda wa kuzitazama za watu sina.


Kalaghabaho ......mo akiwa shoga na wewe uwe shoga
 
Kuna mama mmoja, ni mtu wa kanisa mke wa mtu.
Tunafanya naye matusi sana tena kuliko mwenzie.
Hizo status zake za wasap sasa!!!
- Mungu muweza wa yote
- Bwana, kama Wewe ungehesabu maovu,
- Methali 14:1-18 Mwanamke mwenye hekima
- Wewe, Mungu, Bwana wetu,

ANGALIZO: MAISHA YA MITANDAONI NI MAIGIZO TU, KWA WALIO SMART HAWANA HIZO TAKATAKA
 
Wengine ni wafanyabiashara na status ni sehemu ya matangazo ya bidhaa zake......na hata akiweka sura kwa ajili kuwajengea wateja wake Hali ya kuaminika..........Mimi nadhani ni jambo personal kulingana na utashi na lifestyle ya mtu.....
 
Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.

Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview

Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??

Bado nawashangaaa aisee
Kwa hiyo unaumia?
 
Kupitia Whatsapp utajua watu smart na Hawa wenzangu na Mimi

1. Mtu smart huwezi mkuta kaweka DP ya picha yake Whatsapp

2. Mtu smart huwezi kuta anaweka mastatus mara kwa mara na akiweka basi ujue ni jambo muhimu sana ambalo anataka kufikisha ujumbe kwa njia hiyo

3. Mtu smart hana muda wa ku view status za watu, ila hapa Kuna wa aina 2 Kuna ambao Hawa view kabisa na Kuna wale ambao wana view lakini wakiona unapost pumba au unajipost sana wanakukataa Hawa view tena

Wale wenzangu na Mimi wanaenda kinyume chake
Naona unaniongelea mkuu asante nilikuwa sijijui kama ni smart.
 
Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Suala la status limetupa sana obsessions zisizo za lazima. Watu wanatafuta self worth kupitia status, na ndio maana neno status kwa kiswahili maana yake ni Hadhi.
 
Mimi kupitia status nina uwezo wa kujua uzito wa akili ya mtumaji kama ni feather ,middle au heavyweight....ila 90% nimegundua ni feather weight na wapo kwa ajili ya kuexpose hisia zao za kimaisha bila kujua kwamba akili zao nazo zinakuwa exposed zipo uchi.
 
Back
Top Bottom