Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wanawake huwa wanatumia status kuchambana na show offf za kijingaHaya mambo YA status waachieni wanawake.
Mimi binafsi status sijawahi kuweka na sina muda wa kuangalia status ya mtu
Watu wamekuwa watumwa kwenye mitandao. Vitu wanvyovitafuta kwenye hizo posts au status ni likes, followers, views, comments kutoka kwa watu.
Wengine wanapokosa hivyo vitu wanaanza kujiona hawana thamani au hawapendwi (inferiority) na depression inaanza. Huu ni utumwa ambao umejificha
Mtu anapost halafu kila wakati anatembelea post yake kuona kuna likes ngapi au je watu wanacomment? Au anapost kutafuta attention ili aongeze followers. Huu ni utumwa