Land Rover Discovery ni gari ambayo nzuri sana kwa ndani na bei yake si kubwa sana. Tatizo kubwa ni kwamba engine yake mara nyingi huwa ni za petroli na ni engine kubwa ambazo gharama za mafuta inakuwa juu sana.
Nimeona gari nyingi za Benz saloon zikiwekewa engine ya Toyota Mark II, na Pajero zikiwekewa engine ya 1KZ. Vile vile nimeona Land Rover Freelander zikiwekewa engine ya Rav4. Ningependa kujua kama kuna fundi Dar ambaye anaweza kufanya conversion hii, zaidi sana kama ataweza kubadili engine tu bila gearbox. Kwa akili yangu ndogo, atumie control box (ECU) ya 1KZ kuendesha engine na atumie control box ya Landrover kubadli gear na kuendesha suspension system yote kwa ujumla.
Nimeona gari nyingi za Benz saloon zikiwekewa engine ya Toyota Mark II, na Pajero zikiwekewa engine ya 1KZ. Vile vile nimeona Land Rover Freelander zikiwekewa engine ya Rav4. Ningependa kujua kama kuna fundi Dar ambaye anaweza kufanya conversion hii, zaidi sana kama ataweza kubadili engine tu bila gearbox. Kwa akili yangu ndogo, atumie control box (ECU) ya 1KZ kuendesha engine na atumie control box ya Landrover kubadli gear na kuendesha suspension system yote kwa ujumla.