Kuweka privacy screen kwenye simu nikama kujipachika mdole wewe mwenyewe

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Mtu unanunua flagship ya pesa nyingi yenye technology ya kioo kikalii badala ya kuendelea kuenjoy AMOLED au OLED mixer 2200 nits ulivyokua zwazwa unaenda kuweka giza juu yake sijui mnaficha nini hata ukiangalia content za 1080p unaona blur hizo privacy muwape watu wa infinix na tecno tena zile za laki mbili
 
wengi wananunua simu based on "hypes"
 
Eti screen protector, protector gani inauzwa 5000
 
Kula chuma ya amoled halafu ikiwaplain mpaka kinaakisi zile rangi saba za mwanga
 
privacy Una maanisha protector?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…