Nipo na jamaa zangu hapa, nimeshangazwa sana na kitu hiki sijawahi kusikia maishani mwangu mpaka sasa miaka yangu 24 hii.
Jamaa wanasema eti kunyoa kiduku/kuweka wave kwenye ma***zi na kuzinga eti kunaongeza mvuto kwa demu/mke/kimada wa mapenzi.
Wadau hili ni kweli?
Nipo na jamaa zangu hapa, nimeshangazwa sana na kitu hiki sijawahi kusikia maishani mwangu mpaka sasa miaka yangu 24 hii.
Jamaa wanasema eti kunyoa kiduku/kuweka wave kwenye ma***zi na kuzinga eti kunaongeza mvuto kwa demu/mke/kimada wa mapenzi.
Wadau hili ni kweli?
Khaaaaaaaaaaaaaa, ma-wave si yanababua yale? Ukibabua ngozi je ya huko chini? Na ilivyo laini?? Astaghafulillah! Lol
Astakafululahi!!!!!
Ukishangaa ya Musa utaona ya Farao
mtoto wa kiume
Nina les wig