bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Nipo na jamaa zangu hapa, nimeshangazwa sana na kitu hiki sijawahi kusikia maishani mwangu mpaka sasa miaka yangu 24 hii.
Jamaa wanasema eti kunyoa kiduku/kuweka wave kwenye ma***zi na kuzinga eti kunaongeza mvuto kwa demu/mke/kimada wa mapenzi.
Wadau hili ni kweli?
Jamaa wanasema eti kunyoa kiduku/kuweka wave kwenye ma***zi na kuzinga eti kunaongeza mvuto kwa demu/mke/kimada wa mapenzi.
Wadau hili ni kweli?