Masau BwireMwaka Mmoja ni kwa masikin na watu wanaoishi kwa kuunga unga kama wewe mleta Uzi
Sisi Kila baada ya kuinunua tu simu dukani tukiitumia tu kidogo tunaiona ya kawaida sana hivyo tunanunua nyingine
Nyumban tumejaza sim utazan tunaduka,
Inafika kipindi nikishuka kwenye gari Nina Hadi simu nane kwenye mkono zote sim janja Kali
Sasa ww ka sim kamoja unakaanako mwaka mzima na hakana cover Wala protect huo siyo u masikin tu Bali ni ukapuka uliochanganyika na upungufu wa akiri.
Usiige Kunya kwa tembo.......
Mitano tena
Na long out.
Kuna shida gani kuwa na built-in screen protector badala ya huu uchafu yunaouziwa Kariakoo.Hii itakua inawahusu watu wa Tecno wereva. Sisi wa Samsung simu zinakuja na protector kwa box...au nao ni washamba ku ship simu na protector yake kwenye box?
Zamani kina Shirima walikua wanaheshimika sana aiseeHamjambo,
Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta.
Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe huo uchafu haraka.
Waliotengeneza hizo simu hawakutengeneza makava na hivyo uache ushamba maandazi.
Kwa msiojua simu matumizi yake ni mwaka mmoja na baada ya hapo unatakiwa ubadilishe.
Nadhani Mmeelewa
Aisee,dharau za wazliTecno lake la vilaki vinne
Na kama anatania je!?Kama upo siriasi basi we ndo mshamba namba moja
Hatumuweki kwenye kundi la washambaNa kama anatania je!?
Huyo hata kama anatania, ni mshamba tu..!! Hawezi leta utani wa kishamba hivi..!Hatumuweki kwenye kundi la washamba
Mzee wa muongozoMambo yao waachie wenyewe...
🤣🤣🤣Achana na kufuga midevu na acha kutumia Tecno.
Sisi watumaiji wa Sumsung simu zetu huja na cover lake pamoja na protector. Sasa sijajua mshamba ni nani kati yako wewe Tecno na Sumsung
Tecno gani hiyo?Natumia simu moja ya kipekee sana(zipo chache)na sijawahi kukutana/kuonana na mtu mwingine anatumia hii simu
SIMU NZURI SANA