Kuwekea simu protector na makava ni umaskini

shirima Mathias

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
451
Reaction score
1,333
Uzi wa matajiri

Jaribu kufikiria unakutana kijana anaejiita sharobaro au masister duu amebeba kitecno chake mf kiCAMON X cha vilaki vinne huku amekishindilia makava na maprotecter hadi kisimu chake uchara kinageuka kuwa mzigo

Ni vile watu hawajui: simu matumizi yake ni mwaka mmoja na ikizidi na nusu, na ndio maana hata guarantee huwa haizidi hapo. Sasa popoma anataka akae na simu hadi afanane nayo,huo ni ufara na umama

Mnaatahili mniige mimi ninaetumia iPhone na sina ushamba wa kuzisiliba na makava wala maprotecter uchwara maana baada ya mwaka huwa nagawa
Munisamehe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ujumbe umefika kwa walengwa [emoji1787][emoji1787]
 
Labda utuambie simu yako inatumia version gani ua ios..pia inaitwa "ufala" sio "ufara"...
 
Utakuwa hujui kazi ya protector k.m vile wengine wanaodhani protector inazuia kioo kisivunjike
 
Nilivyoona title nikajua ni thread ya Kiduku Lilo
 
Unajisifu ni i phone? Uzwazwa ulopitiliza babu yangu mzee shirima anayo alafu anatumia tu kupiga na kupokea na kutuma sms tu the rest anaitia mfuko wake wa shati,

Aach uboya maisha sio i phone ni wakati wa kuwa na black card(private wealth) from big bank
 
Kajifunze kwanza kuandika vizuri.
 
kama umeipata iPhone kwa kuvamia duka na kupora unafikiri utaiwekea covers si utakuwa unabadilisha kama nguo tu
 
Kama umeiwekea protecter na makava basi ujue humtendei haki mzee wako
 
Maskini(wa akili) akishiba siku moja anajua siku ya pili hata hisi njaa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…