Kuwekea simu protector na makava ni umaskini

Utakuwa hujui kazi ya protector k.m vile wengine wanaodhani protector inazuia kioo kisivunjike

hebu nipe elimu maana wengi tunaotumia zile simu ambazo nusu bei ni kioo. protector ndo kimbilio letu kama mleta mada alivyotusema
 

Unafanya forex?
 
Hayo makava na protekta anatengeneza nani?
 
Hapo unamzungumzia popoma huyu huyu wa humu jf au popoma yupi? Maana sio kwa mineno kama ya Makonda na IST anazozisakama
 
Kuweka staring cover, cover ya simu kuvaa kondom kote huko ni ufala. Mie uwa napenda kupata ile manufacturer test. Sio artificial test
 
....................Hakuna Mchagha wa hivi,wewe ni mamluki wa kihaya ningemfahamu baba yako ningemshauri apambane akufanyie DNA test ili aujue ukweli.
 
Uzi umebamba na comments zitakuwa chache maana na wanaocoment wanapitia katika protectoe na simu imejivisha cover naona namimi nivitoe.
 
Utakuwa hiyo pesa uliokota, ukanunua iPhone halafu hela za cover na protector huna.
We ni maskini na fala kiuchumi na kimawazo.
 
mchaga wewe shirima ugawe i phone ? labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…