Kuwekeza Tsh 50,000/=

Achana na wanao kudisi, wao wanamitaji hawana macho!!!!
 
ANKOJEI Nimeona point hapa katika swala kuku ila imejificha Nomba utuweke wazi baada ya miezi minne kwa kuku wawili atakuwa amepata kuku wangapi au kiasi gani.Yaani kuna kitu cha maana nakiona hapo ila sijui kama ndio point yako kwani hii biashara inalipa sana pia
 
Wadau nashukuru mnachanganua mambo kwa kina sana, nimewakubali memba wa jf yaan sanaaa.
let us go on...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…