elf50 nunua vochauza kama upo ofisin kila siku zinakwisha unala na elf52 mia5
kama upo mtani pia itakufaa, USIKOPESHE kamwe
Au nunua vifaranga wa3 wamalawi, then nunua chakula ya kuku ya kupima kwa miezi2 bada ya hapo wachie watafute chakula wenyewe. then bada ya miezi4 utantafuta unipe jogoo wa shukurani