Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 802
- 571
mimi Mbona nimenunua fridge na Brenda huu mwez wa 9 Mbona havisumbui?Kwan haukupewa warrant?au umenunu Kwa mtu
Mi pia nimenunua fridge, blender, toaster, fan mwaka wa 4 na havina matatizo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi Mbona nimenunua fridge na Brenda huu mwez wa 9 Mbona havisumbui?Kwan haukupewa warrant?au umenunu Kwa mtu
Jamani napenda kuwatahadharisha kwamba muwe makini sana na bidha zinazotengenezwa na kampuni ya WESTPOINT. Nilinunua fridge mpya hivi karibuni Quality Plaza. Baada ya wiki moja ikaharibika pamoja na kuwa na fridge guard. Nikaipeleka service, baada ya wiki moja ikaharibika tena. Kwenye service bay ya kwao, nilikutana na watu wengi akiwemo mama mmoja alienunua jiko la umeme. Alipofika nyumbani kwake na kulichomeka, lilimrusha vibaya na kuzima umeme nyumba nzima. Wengine walinunua vifaa vingine na kupata matatizo ndani ya wiki mbili. Nendeni mkajionee wenyewe pale service bay yao iliyoko jengo la blue kwenye makutano ya barabara ya kurasini na nyerere road, opposite Pegasus house. Sijui kama TBS wanafanya kazi yao vizuri....
mambo yote SAMSUNG
Nimekubali kuliwa ila hawanipati tena!
Mmmh, isije kuwa ni probaganda za kibiashara ambazo hazijafanyiwa utafiti...kwanza pole kwa yaliyokukuta!
Lakini ushuhuda wangu ni tofauti, mi friji langu lipo bomba mwanzo mwisho, toka nimeliwasha mwaka juzi, huwa linapumzishwa
na mgao wa TANESCO tu.
Ni vizuri kuwa mwangalifu kwenye kila kitu unapotumia hela, si kwenye bidhaa za WESTPOINT tu.