kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Hako ka yaaniMkuu maandishi ni kama kuongea,,, ukizingatia utajua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako ka yaaniMkuu maandishi ni kama kuongea,,, ukizingatia utajua tu
Kumbe hajafa au mbona samia kashatangaza au na wewe ni mpiga Ramli tu.Huna lolote. Mwanaume gani mtu akikuambia ukweli unamblock ?Nilikupa fact huko Twitter ukaniblock. Eti Magu kafa,uliosha maiti yake?
Huyo mwamba namjua kitambo ,MTU muhunu mambo ya INTELKumbe unamtambua huyu mwamba?
Vipi Dada,tunaenda Msibani Chatto?Huna lolote. Mwanaume gani mtu akikuambia ukweli unamblock ?Nilikupa fact huko Twitter ukaniblock. Eti Magu kafa,uliosha maiti yake?
Naifuta... Ila anatakiwa aache kutafuta umaarufu kwa nguvu... Sifa hazisaidii hasa kwa wasifu wake... Labda kama anatengeneza wasifu wa kazi mahali fulaniUkweli unao wewe
Yupo kwenye mtandao flani hivi maarufu Duniani,anajiita"Spy" Eti alikimbilia Ughaibuni lest he would be safe ,Eti akiwa Bongo atadhurika.
Huyo mtu ni HATARI zaidi ya nyoka,kazi yake kubwa ni kujifanya yupo Upinzani na mkosoaji wa Serikali,kumbe ni Traitor,na Bado yupo kitengoni, amekamatisha wengi mno waliodhani ni mwenzao kumbe ni Traitor.
Huko Ughaibuni pia yupo kikazi, na anajifanya Eti hajawahi kuja Bongo Tangu aondoke,kumbe mara kibao tu anakuja kwao na kula kambare Kama Kawa yaani.
Mambo anayoandika huko mtandaoni utaamini kabisa kuwa he's not part of the government's body kumbe yupo kazini.
Kazi kwenu.
Ni member kitambo nadhani kwa ID ya spy na hii ya jina lakeKumbe ni member humu, nikajua Twitter tu. Hapa Sasa tuendelee kuzijua mbivu na mbichi , mwageni ung'eng'e Sasa Mana watu bado tunapressure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha aisee imebidi niingie Twitter nikutafute.. kumbe na Mimi kaniblock na hata sijawahi mfollowAnatembeza block Twitter si kawaida! Hata kama hujawahi comment anahisi kiwavi unakula block [emoji3166]
Wakristo na wasukuma hampewi Tena nchi.Nashauri Makamu wa Rais awe Mkristo Mkatoliki na Waziri Mkuu awe Mkristo Mprotestanti au Makamu wa Rais awe Mkristo Mprotestanti na Waziri Mkuu awe Mkristo Mkatoliki.
Waziri Mkuu awe Mkenda au Kimei kuendana na kama Makamu wa Rais atakuwa Mprotestanti au Mkatoliki.
Kabudi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu anaweza kuwa Mkenda.
Au Lukuvi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Kimei akawa Waziri Mkuu.
Au combination nyingine nzuri za Makamu wa Rais Mkatoliki na Waziri Mkuu Mprotestanti au Makamu wa Rais Mprotestanti na Waziri Mkuu Mkatoliki.
Bunge ndio liwe uwanja mkuu wa kufanya maamuzi haya, kwasababu uwiano wa kidini ndani ya Kamati Kuu ya CCM, hauendani na hali halisi nchini.
Halafu in the future, baada ya Rais Samia kumaliza vipindi vyake vya uongozi, tujaribu kuwa na Rais Mprotestanti, kwasababu Tanzania haijawahi kuwa na Rais Mprotestanti.
Ushauri huu usipofuatwa hakuna tatizo lolote. Maisha yanaendelea kwa amani na utulivu.
Unamfahamu vizuri huyo mwamba de'levis?Chai hii
Kosa lako ni kumfollow Kigogo,ukimfollow shemasi automatically anakulisha tofaliHuyo jamaa ukiangalia profile yake halafu hukomment chochote, anakutia block.
Bila shaka anayezungumziwa ni Major General Imran Kombe,mkurugenzi mkuu mstaafu wa TISS aliyemiminiwa risasi kule Moshi na sio huyo Mzeru aliyeuawa pale AirportUnamzungumzia yule alikuwa Mhasibu wao enzi za JK, Mlugulu yule alikuwa ana pesa chafu za madili, alipigwa Risasi za kutosha na hadi leo waliomuua hawajulikani
Mlamu kaliandilii, mtua vinu vilongu vya kutimbangila mwatu.Hahàaa mbui, mlongo Chahali uyise kunu kunafilongo vyako[emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbe anaendaga kula kitoga,kambale, njege, ngogo, sulusulu, ndipi, kule kibaoni, lumemo, viwanja60[emoji16][emoji16]
Malumbi miaka 2009 tuu hapoSio Kombe kweli! Alihisiwa ni jambazi akala shaba,tena alikua Mkurugenzi wa Idara
Kumbe na wewe ni mjingaYupo kwenye mtandao flani hivi maarufu Duniani,anajiita"Spy" Eti alikimbilia Ughaibuni lest he would be safe ,Eti akiwa Bongo atadhurika.
Huyo mtu ni HATARI zaidi ya nyoka,kazi yake kubwa ni kujifanya yupo Upinzani na mkosoaji wa Serikali,kumbe ni Traitor,na Bado yupo kitengoni, amekamatisha wengi mno waliodhani ni mwenzao kumbe ni Traitor.
Huko Ughaibuni pia yupo kikazi, na anajifanya Eti hajawahi kuja Bongo Tangu aondoke,kumbe mara kibao tu anakuja kwao na kula kambare Kama Kawa yaani.
Mambo anayoandika huko mtandaoni utaamini kabisa kuwa he's not part of the government's body kumbe yupo kazini.
Kazi kwenu.
Kuhusu kule kwa yule Ngongoti???Yupo mmoja huko nyuma alipewa onyo la kunadili mwenendo wake juu ya mambo matatu aliyokuwa akiyaratibu..
Na wala hakunjua onyo lile limetoka wapi akaanza kufatilia lilikotoka..akapewa la pili na la tatu..kisha maamuzi yakafanyika toka gaboroune room 103..aliishia kula risas 14...
Wanaojua beacon za nchi hii sio diwan wala magifuli