Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Akina Dada kuweni makini mnapo changanya mikorogo huyu Dada kachanganya zaidi ya 8 na sabuni ya unga pia kaweka
Akatengeneza chemical ya sulphur acid bila yeye kujua inasemekana baada ya kupaka ndani ya week 1 akaanza kuhisi miwasho mikali na ngozi ikawa inavimba kama malengelenge ya kuungua mpaka kufikia hapo alipo yuko HOSPITALI
Muda mwingine mjikubali kwa namna mlivyoumbwa na Mungu
Akatengeneza chemical ya sulphur acid bila yeye kujua inasemekana baada ya kupaka ndani ya week 1 akaanza kuhisi miwasho mikali na ngozi ikawa inavimba kama malengelenge ya kuungua mpaka kufikia hapo alipo yuko HOSPITALI
Muda mwingine mjikubali kwa namna mlivyoumbwa na Mungu