Tetesi: Kuweni makini na VAR toka Israel, Musiba anajua kibanda cha VAR kipo wapi

Tetesi: Kuweni makini na VAR toka Israel, Musiba anajua kibanda cha VAR kipo wapi

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Nawasihi tu wadau wapambanaji wa kisiasa na wakereketwa au mashabiki wa mambo ya siasa.

Hii VAR ya kudaka faulo zote za mitandaoni, na kwenye vifaaa vya mawasiliano inafanya kazi kwelikweli.

Muulize Ndugu 'Mwezi wa Kwanza' na genge lake.

Hii VAR ni kiboko, inadaka hadi habari zetu za kifamilia.

Kuna tabia ya wadau humu kupuuzia na kudhania jina la kutunga mitandaoni, au kuweka nywira(password) kwenye kifaa chako au kwenye blogu au app yako unakuwa salama.

Hakuna Telegram wala Whatsapp hali si salama kwakweli.

Mnafikiri akina 'Njanuari' walikuwa wazembe kiasi hicho walitumia vifaa ambavyo havikuwa 'secured'?

Kama kweli wana akili ya kufunga lile goli la mkono kupitia teknolojia hivi kweli ni wajinga kufanya mawasiliano kizembe kwa hizi simu za kawaida ktk plain message?

Unafikiri kanali mstaafu kamanda wa tusker hakutumia mbinu za kijeshi kukwepa kunaswa mawasiliano yake?

Watukanaji wa humu JF wapo huru sio sababu hawajulikani ila wameonekana hawana madhara hivyo.

Siku wakivuka mstari mwekundu ndio wanajua ukweli na inakuwa wameshachelewa.

Jumapili njema!

Edward Snowden anawasalimia sana toka Russia anasema:

BEWARE OF THE CYBER 'VAR'!
Domestic surveillance is real, and the sh*t is happening now ktk nchi ya kusadikika.

***Watu wa soka wanajua VAR ndio nini.***
 
Usiwatie watu hofu, VAR ya ukweli ni watu wenyewe, kuna mtu amewasaliti wenzie na kawachoma kwa mkulu
Kwa hivyo unataka kusema yule 'Msoma Ali' alie kula shavu kawauza wenzie?

Kama ndivyo, aliwezaje kurekodi mazungumzo yote hata ya binafsi kama ya baba na mwana?
 
Hali ni tete,msimu mpya unakaribia kuanza,kamati ya ligi kwenye ubora wao,maboresho yameanza na VAR 😂😂😂,job true true🚶🏼🚶🏼🚶🏼
 
Nawasihi tu wadau wapambanaji wa kisiasa na wakereketwa au mashabiki wa mambo ya siasa.

Hii VAR ya kudaka faulo zote za mitandaoni, na kwenye vifaaa vya masiliano inafanya kazi kwelikweli.

Muulize Ndugu 'Mwezi wa Kwanza' na genge lake.

Hii VAR ni kiboko, inadaka hadi habari zetu za kifamilia.

Kuna tabia ya wadau humu kupuuzia na kudhania jina la kutunga mitandaoni, au kuweka nywira(password) kwenye kifaa chako au kwenye blogu au app yako unakuwa salama.

Hakuna Telegram wala Whatsapp hali si salama kwakweli.

Mnafikiri akina 'Njanuari' walikuwa wazembe kiasi hicho walitumia vifaa ambavyo havikuwa 'secured'?

Kama kweli wana akili ya kufunga lile goli la mkono kupitia teknolojia hivi kweli ni wajinga kufanya mawasiliano kizembe kwa hizi simu za kawaida ktk plain message?

Unafikiri kanali mstaafu kamanda wa tusker hakutumia mbinu za kijeshi kukwepa kunaswa mawasiliano yake?

Watukanaji wa humu JF wapo huru sio sababu hawajulikani ila wameonekana hawana madhara hivyo.

Siku wakivuka mstari mwekundu ndio wanajua ukweli na inakuwa wameshachelewa.

Jumapili njema!

Edward Snowden anawasalimia sana toka Russia anasema:

BEWARE OF THE CYBER 'VAR'!
Domestic surveillance is real, and the sh*t is happening now ktk nchi ya kusadikika.

***Watu wa soka wanajua VAR ndio nini.***
Itabidi tubadili hata njia ya kuwasiliana na michepuko. Kwa mfano unapoomba kumega siku ya J3 unpigia simu unamwambia: "Nimeonelea vyema hawa viumbe (sex organs) waonane J3 ili watafakari kuhusu uchimbaji wa kisima cha maji. Huu ukame ni balaa." [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Whatsapp na Telegram ni salama vinginevyo mengi yangejulikana
 
Whatsapp na Telegram ni salama vinginevyo mengi yangejulikana
Mengi yanajulikana.
Umma unajulishwa machache.

Wengine wanapotezewa tu,
Wengine ni kama uvimbe mkubwa kwenye Ubongo kiasi kwamba ukitumbua kienyeji unauwa mifumo yote ya mwili.
 
Back
Top Bottom