Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
[emoji1751][emoji134]Mwanamke wangu Alinipigia simu! Hello baby, nina njaa sana muda huu[emoji24][emoji24]
[emoji117] samahani unaeza kuja kwangu muda huu [emoji536], na wakati unakuja naomba unijie na kuku[emoji239]
[emoji117]Bila kupoteza muda [emoji1745] Nilianza kutafuta pahala wanauza kuku[emoji239] & Nilinunua mkubwa kabisa[emoji239] nikaenda nikenda kwa mpenzi wangu [emoji536]
[emoji117] Alianza kumgawanyisha vipande, akatoa vipande viwili akawa anavichemsha na vingine akaviweka kwenye friji[emoji44][emoji849][emoji134]
[emoji117] Wakati tumekaa zetu kuku anaendelea kuiva[emoji16][emoji134].....
[emoji117]Ndani ya dk 10 wakati kuku anachemka jikoni, simu yake ikaita[emoji3061][emoji849] akaingia chumbani kwenda kuongea na simu[emoji44][emoji3061][emoji134]
[emoji117] Baada ya kupokea simu, aliniambia kaka yake anakuja na hatofurahi akinikuta pale so nimpishe kidogo[emoji44][emoji1751][emoji134]
[emoji117]Akanisisitiza niondoke haraka[emoji124][emoji124] atanipigia simu kaka yake akiondoka [emoji44][emoji134][emoji1751][emoji44][emoji44]
[emoji117] Kwa amani kabisa nilielekea jikoni nikashusha sufuria chini nikatoa vile vipande viwili nikaacha mchuzi mtupu,[emoji34], nikafungua friji nikachukua vipande vyote alivyokuwa ameviifadhi[emoji849], nikaanza safari ya kwenda kwangu[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji117]....Kuanzia jana nampigia simu kujua kama kaka yake ameondoka ama laa wala hapokei simu zangu cha ajabu ananikatia kabisa[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji117] Watu wangu kwani kuna kosa nimefanya????[emoji19][emoji19][emoji30][emoji30]
[emoji117] samahani unaeza kuja kwangu muda huu [emoji536], na wakati unakuja naomba unijie na kuku[emoji239]
[emoji117]Bila kupoteza muda [emoji1745] Nilianza kutafuta pahala wanauza kuku[emoji239] & Nilinunua mkubwa kabisa[emoji239] nikaenda nikenda kwa mpenzi wangu [emoji536]
[emoji117] Alianza kumgawanyisha vipande, akatoa vipande viwili akawa anavichemsha na vingine akaviweka kwenye friji[emoji44][emoji849][emoji134]
[emoji117] Wakati tumekaa zetu kuku anaendelea kuiva[emoji16][emoji134].....
[emoji117]Ndani ya dk 10 wakati kuku anachemka jikoni, simu yake ikaita[emoji3061][emoji849] akaingia chumbani kwenda kuongea na simu[emoji44][emoji3061][emoji134]
[emoji117] Baada ya kupokea simu, aliniambia kaka yake anakuja na hatofurahi akinikuta pale so nimpishe kidogo[emoji44][emoji1751][emoji134]
[emoji117]Akanisisitiza niondoke haraka[emoji124][emoji124] atanipigia simu kaka yake akiondoka [emoji44][emoji134][emoji1751][emoji44][emoji44]
[emoji117] Kwa amani kabisa nilielekea jikoni nikashusha sufuria chini nikatoa vile vipande viwili nikaacha mchuzi mtupu,[emoji34], nikafungua friji nikachukua vipande vyote alivyokuwa ameviifadhi[emoji849], nikaanza safari ya kwenda kwangu[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji117]....Kuanzia jana nampigia simu kujua kama kaka yake ameondoka ama laa wala hapokei simu zangu cha ajabu ananikatia kabisa[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji117] Watu wangu kwani kuna kosa nimefanya????[emoji19][emoji19][emoji30][emoji30]