Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya vzuri kabisa yani nakupa pongezi..... Wanawake wa shenzi kama huyo wifi yetu wanahitaji kuaibishwa kama hvo[emoji1751][emoji134]Mwanamke wangu Alinipigia simu! Hello baby, nina njaa sana muda huu[emoji24][emoji24]
[emoji117] samahani unaeza kuja kwangu muda huu [emoji536], na wakati unakuja naomba unijie na kuku[emoji239]
[emoji117]Bila kupoteza muda [emoji1745] Nilianza kutafuta pahala wanauza kuku[emoji239] & Nilinunua mkubwa kabisa[emoji239] nikaenda nikenda kwa mpenzi wangu [emoji536]
[emoji117] Alianza kumgawanyisha vipande, akatoa vipande viwili akawa anavichemsha na vingine akaviweka kwenye friji[emoji44][emoji849][emoji134]
[emoji117] Wakati tumekaa zetu kuku anaendelea kuiva[emoji16][emoji134].....
[emoji117]Ndani ya dk 10 wakati kuku anachemka jikoni, simu yake ikaita[emoji3061][emoji849] akaingia chumbani kwenda kuongea na simu[emoji44][emoji3061][emoji134]
[emoji117] Baada ya kupokea simu, aliniambia kaka yake anakuja na hatofurahi akinikuta pale so nimpishe kidogo[emoji44][emoji1751][emoji134]
[emoji117]Akanisisitiza niondoke haraka[emoji124][emoji124] atanipigia simu kaka yake akiondoka [emoji44][emoji134][emoji1751][emoji44][emoji44]
[emoji117] Kwa amani kabisa nilielekea jikoni nikashusha sufuria chini nikatoa vile vipande viwili nikaacha mchuzi mtupu,[emoji34], nikafungua friji nikachukua vipande vyote alivyokuwa ameviifadhi[emoji849], nikaanza safari ya kwenda kwangu[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji117]....Kuanzia jana nampigia simu kujua kama kaka yake ameondoka ama laa wala hapokei simu zangu cha ajabu ananikatia kabisa[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji117] Watu wangu kwani kuna kosa nimefanya????[emoji19][emoji19][emoji30][emoji30]
Kaacha virutubisho kwenye mchuzi eboo! Kosa kubwa hiloo.Kosa ulilofanya ni kuacha mchuzi ungemimina na mchuzi kwenye mfuko wa plastiki uondoke nao.
Umetuwakilisha vyema hakika.[emoji1751][emoji134]Mwanamke wangu Alinipigia simu! Hello baby, nina njaa sana muda huu[emoji24][emoji24]
[emoji117] samahani unaeza kuja kwangu muda huu [emoji536], na wakati unakuja naomba unijie na kuku[emoji239]
[emoji117]Bila kupoteza muda [emoji1745] Nilianza kutafuta pahala wanauza kuku[emoji239] & Nilinunua mkubwa kabisa[emoji239] nikaenda nikenda kwa mpenzi wangu [emoji536]
[emoji117] Alianza kumgawanyisha vipande, akatoa vipande viwili akawa anavichemsha na vingine akaviweka kwenye friji[emoji44][emoji849][emoji134]
[emoji117] Wakati tumekaa zetu kuku anaendelea kuiva[emoji16][emoji134].....
[emoji117]Ndani ya dk 10 wakati kuku anachemka jikoni, simu yake ikaita[emoji3061][emoji849] akaingia chumbani kwenda kuongea na simu[emoji44][emoji3061][emoji134]
[emoji117] Baada ya kupokea simu, aliniambia kaka yake anakuja na hatofurahi akinikuta pale so nimpishe kidogo[emoji44][emoji1751][emoji134]
[emoji117]Akanisisitiza niondoke haraka[emoji124][emoji124] atanipigia simu kaka yake akiondoka [emoji44][emoji134][emoji1751][emoji44][emoji44]
[emoji117] Kwa amani kabisa nilielekea jikoni nikashusha sufuria chini nikatoa vile vipande viwili nikaacha mchuzi mtupu,[emoji34], nikafungua friji nikachukua vipande vyote alivyokuwa ameviifadhi[emoji849], nikaanza safari ya kwenda kwangu[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji117]....Kuanzia jana nampigia simu kujua kama kaka yake ameondoka ama laa wala hapokei simu zangu cha ajabu ananikatia kabisa[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji117] Watu wangu kwani kuna kosa nimefanya????[emoji19][emoji19][emoji30][emoji30]
Anafaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jaman mkaka hufai wewe
Anafaa sana
Tupe maelekezo zaidi plzWanawake wengi ni matapeli sana siku hizi japo sio wote ila vijana tuwekeze pesa zetu kwenye utt amis liquid fund atutajutia kabisa huuu mfuko unafaida sana
Ingia YouTube na Google uandike utt amis utapatiwa elimu ya kutosha ili uelewe vizuri kisha nenda crdb bank au kwenye ofisini zaoTupe maelekezo zaidi plz
[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jmn nimecheka[emoji1751][emoji134]Mwanamke wangu Alinipigia simu! Hello baby, nina njaa sana muda huu[emoji24][emoji24]
[emoji117] samahani unaeza kuja kwangu muda huu [emoji536], na wakati unakuja naomba unijie na kuku[emoji239]
[emoji117]Bila kupoteza muda [emoji1745] Nilianza kutafuta pahala wanauza kuku[emoji239] & Nilinunua mkubwa kabisa[emoji239] nikaenda nikenda kwa mpenzi wangu [emoji536]
[emoji117] Alianza kumgawanyisha vipande, akatoa vipande viwili akawa anavichemsha na vingine akaviweka kwenye friji[emoji44][emoji849][emoji134]
[emoji117] Wakati tumekaa zetu kuku anaendelea kuiva[emoji16][emoji134].....
[emoji117]Ndani ya dk 10 wakati kuku anachemka jikoni, simu yake ikaita[emoji3061][emoji849] akaingia chumbani kwenda kuongea na simu[emoji44][emoji3061][emoji134]
[emoji117] Baada ya kupokea simu, aliniambia kaka yake anakuja na hatofurahi akinikuta pale so nimpishe kidogo[emoji44][emoji1751][emoji134]
[emoji117]Akanisisitiza niondoke haraka[emoji124][emoji124] atanipigia simu kaka yake akiondoka [emoji44][emoji134][emoji1751][emoji44][emoji44]
[emoji117] Kwa amani kabisa nilielekea jikoni nikashusha sufuria chini nikatoa vile vipande viwili nikaacha mchuzi mtupu,[emoji34], nikafungua friji nikachukua vipande vyote alivyokuwa ameviifadhi[emoji849], nikaanza safari ya kwenda kwangu[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji117]....Kuanzia jana nampigia simu kujua kama kaka yake ameondoka ama laa wala hapokei simu zangu cha ajabu ananikatia kabisa[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji117] Watu wangu kwani kuna kosa nimefanya????[emoji19][emoji19][emoji30][emoji30]
[emoji2960][emoji847]Mwanaume kuandika uzi umejaa emoj ni udada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kosa ulilofanya ni kuacha mchuzi ungemimina na mchuzi kwenye mfuko wa plastiki uondoke nao.
wanaume wa kwel tumebak wachache sanMwanaume kuandika uzi umejaa emoj ni udada
Wadada ni ndugu zetu bora ungesema ni uzungu lingekuwa tusiMwanaume kuandika uzi umejaa emoj ni udada