Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Nimesikiliza interview moja hivi nimeshituka.
Sikujua kama kuna ulemavu wa hivi!
je kuna matibabu ya huu ulemavu?
Sikujua kama kuna ulemavu wa hivi!
je kuna matibabu ya huu ulemavu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mkuuHakuna mwanaume mwenye uke!
Ina maana hata wenye jinsia mbili hujawai wasikiaHakuna mwanaume mwenye uke!
wapo na wanaitwa jinsia ya tatu. Siku hizi wana selo zao hawachanganywi na wenye jinsia moja mojaIna maana hata wenye jinsia mbili hujawai wasikia
huyo anabishawapo na wanaitwa jinsia ya tatu. Siku hizi wana selo zao hawachanganywi na wenye jinsia moja moja
Kibongo bongo ndo hamnawapo kabisa wa kuzaliwa, wengine surgery! Can't imagine dume lina papa, dah !!!!
kile n kinena kikubwaTulishazoea kusikia mwanamke mwenye uume, ila wanasema uume ni mdogo na ni dhaifu
ya nchiMaajabu
ohooKuzaliwa
Mwanangu dunia hii ina mengi , iko hivi hapa Nchini wapo watu wa hivyo kabisa ingawa huwa wanafichwa sana katika malezi tangu wadogo ,kule kwa jina wakijulikana kama "husa" na nakumbuka miaka ya 90 hivi alikuwepo mwalimu mmoja wa shule ya Msingi katika wilaya moja ya Tanga.Kibongo bongo ndo hamna
Ebu gugu neno "hermaphrodite" ujielimishe.Hakuna mwanaume mwenye uke!
Kujiweka wazi huwa inakuwa ngumu, inawezekana wapo.Kibongo bongo ndo hamna
Hizo sehemu mtu mmoja akiwanaza huwa zina function zote..??Ebu gugu neno "hermaphrodite" ujielimishe.