Kuwepo wanaume wenye uke ni ulemavu au ni matokeo ya plastic surgery??

Kuwepo wanaume wenye uke ni ulemavu au ni matokeo ya plastic surgery??

Kibongo bongo ndo hamna
Mwanangu dunia hii ina mengi , iko hivi hapa Nchini wapo watu wa hivyo kabisa ingawa huwa wanafichwa sana katika malezi tangu wadogo ,kule kwa jina wakijulikana kama "husa" na nakumbuka miaka ya 90 hivi alikuwepo mwalimu mmoja wa shule ya Msingi katika wilaya moja ya Tanga.
 
Back
Top Bottom