Kuwepo wanaume wenye uke ni ulemavu au ni matokeo ya plastic surgery??

Kuwepo wanaume wenye uke ni ulemavu au ni matokeo ya plastic surgery??

Kuna mmoja tulisoma naye huko Same primary school,
Jamaa kipindi cha balehe ndo ikawa noma coz chuchu zilianza kutoka, unaweza kudhani ni utani but ni story ya kweli, Tulivyomaliza primary miaka ya 2007 sikufuatilia tena kilichofuata
 
Nachojua ni kwamba part moja ndio huwa sensitive kuliko nyingine
Hata mimi ndo nachojua hivyo lakini ndugu yangu hapo juu ananiita mpumbavu kisa nimekataa kuwa hakuna mwanaume hapohapo awe mwanamke!.. huwezi kuwa na hizo part zote mbili halafu zote zikafanya kazi moja lazima iwe ndo inafanya kazi sasa maamtu mengine yanafikiri watu wote ni mazwazwa!
 
Hata mimi ndo nachojua hivyo lakini ndugu yangu hapo juu ananiita mpumbavu kisa nimekataa kuwa hakuna mwanaume hapohapo awe mwanamke!.. huwezi kuwa na hizo part zote mbili halafu zote zikafanya kazi moja lazima iwe ndo inafanya kazi sasa maamtu mengine yanafikiri watu wote ni mazwazwa!
Ndivyo hivyo mkuu. Haziwezi kufanya kazi kwa viwango sawa. Kuna moja huwa active na ndio inayomfanya a-rely jinsia husika
 
Waislamu TulishajulishwA Ndani Ya Quran Kuhusu Watu Wa Aina Hiyo.
Na Ndio Maana Waislam Ni Werevu Sana Kwa Maana Kuna Watu Wazima Wa Jf Wanazidiwa Pakubwa Na Binti Yangu Wa 7 yrs Yeye Ameshafundishwa Madrasa.
 
Akishakuwa na K tu, huyo tayari ni mwanamke... Haijalishi ana sauti nzito, ndevu, sura ya baba, kifuani flat, huyo ni KE tu.
 
Back
Top Bottom