GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Tulipoamua kupandisha Tozo za Miamala tulikuwa tuna lengo zuri tu ila tulipoanza kusikia Kelele za Wananchi basi Serikali tukaona kwakuwa tunawajali Wananchi wetu tuingilie kati na sasa nimeunda Kamati ili kuliangalia hili na itakuja na majibu muda si mrefu" Rais Samia.
Hasira yangu na Uchungu wangu zaidi haipo katika Kauli nzima bali ni hilo neno tu la 'Kelele' ambalo Mimi nalitafsiri kama vile Rais 'ametudharau' mno na kwamba anataka Watanzania tuwe ni Watu wa kukubali tu kila Kitu ambacho Serikali inaamua.
Kama ni kweli Mheshimiwa Rais Samia alilisema hili neno la 'Kelele' kama alivyonukuliwa popote pale alipo ajue kuwa binafsi 'amenikera' japo huenda Watanzania wengi wakawa 'wameridhika' nalo.
Watu wa Mkoa wa Mara (Musoma) ambao ndiyo 'Mashujaa' wa nchi hii ya Tanzania kuambiwa tuna 'Kelele' ni Kosa Kubwa mno na Dharau japo kwa Watu Washamba wao neno hili huenda wakalifurahia zaidi.
Hasira yangu na Uchungu wangu zaidi haipo katika Kauli nzima bali ni hilo neno tu la 'Kelele' ambalo Mimi nalitafsiri kama vile Rais 'ametudharau' mno na kwamba anataka Watanzania tuwe ni Watu wa kukubali tu kila Kitu ambacho Serikali inaamua.
Kama ni kweli Mheshimiwa Rais Samia alilisema hili neno la 'Kelele' kama alivyonukuliwa popote pale alipo ajue kuwa binafsi 'amenikera' japo huenda Watanzania wengi wakawa 'wameridhika' nalo.
Watu wa Mkoa wa Mara (Musoma) ambao ndiyo 'Mashujaa' wa nchi hii ya Tanzania kuambiwa tuna 'Kelele' ni Kosa Kubwa mno na Dharau japo kwa Watu Washamba wao neno hili huenda wakalifurahia zaidi.