TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
UoongoooKwani lazima kuacha genesis za ukoo wako... ukatili ni kuleta kiumbe katika dunia hii yenye mabalaa Kila uchwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UoongoooKwani lazima kuacha genesis za ukoo wako... ukatili ni kuleta kiumbe katika dunia hii yenye mabalaa Kila uchwao
Mimi nimeandika kwa kutizam kile kinachotokea kwenye jamii ila sio kwamba nnakifanya/sitakifanya. Lengo ni ku-address tatizo na kutizama je wanajamvi mna maoni gani juu ya hii kadhia.Wewe ungeandikaje huu uzi mama yako angekuwa na mawazo kama yako ya kutozaa?