Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
All in all earlier is better, inapendeza unapofikisha miaka 50 na mtoto/ watoto wako anakuwa amemaliza Degree yake. tusidanganyane kwenye hili kuchelewa kuzaa kunasababishwa na matatizo mchanganyiko ya kimaisha lakini si matakwa yetu binadamu.