Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,485
Napenda kujua kwanini ulipendelea mtoto mmoja na sio kumi.
Kwanini upate shida kuwajuza wenzako ikiwa unaamini sababu zako ni njema?
Je kuna vasectomy au mirija kukatwa?
Itakuwaje ikiwa utakuwa na watoto wawili?
Wanatoa sababu zipi hadi inakuwa kero kwao?
Kwanini ukereke ilhali umewapa sababu?
KWANGU naona wewe una tatizo la kutosimamia unachokiamini
Kwanini upate shida kuwajuza wenzako ikiwa unaamini sababu zako ni njema?
Je kuna vasectomy au mirija kukatwa?
Itakuwaje ikiwa utakuwa na watoto wawili?
Wanatoa sababu zipi hadi inakuwa kero kwao?
Kwanini ukereke ilhali umewapa sababu?
KWANGU naona wewe una tatizo la kutosimamia unachokiamini