jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 794
- 191
Kuzaa nje ya ndoa ni jambo la kawaida sana (either kabla ya ndoa au baada ya ndoa) sasa naomba kuuliza ni lipi linaumiza zaidi kwa mwanaume au mwanamke
1 mwanaume kuoa mwanamke aliyekwisha kuzaa kabla ya ndoa au mwananke kuolewa na mwanaume mwenye mtoto kabla ya kuona
2. mwanaume kuzaa nje ya ndoa wakati akiwa knye ndoa au mwanamke kuzaa nje ya ndoa wakati akiwa knye ndoa
najua vyote siyo vizuri kimaadili ila ni lipi la uma zaidi na utakabiliana nalo vipi?
1 mwanaume kuoa mwanamke aliyekwisha kuzaa kabla ya ndoa au mwananke kuolewa na mwanaume mwenye mtoto kabla ya kuona
2. mwanaume kuzaa nje ya ndoa wakati akiwa knye ndoa au mwanamke kuzaa nje ya ndoa wakati akiwa knye ndoa
najua vyote siyo vizuri kimaadili ila ni lipi la uma zaidi na utakabiliana nalo vipi?