Kuzaliwa au kujifungua mtoto njiti sio laana au mkosi

Kuzaliwa au kujifungua mtoto njiti sio laana au mkosi

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1611047282327.png
Takwimu zinaonesha kuwa kila mwaka watoto milioni 15 wanazaliwa njiti, yaani ujauzito ukiwa haujatimiza wiki 37 wakiwa na uzito mdogo

Jamii inapaswa kujua #WatotoNjiti wanauwezo wa kukua kama Watoto wengine hivyo imani potofu hazina budi kukoma

Watoto Njiti wanahitaji uangalizi maalumu kwani ni Watoto kama Watoto wengine, jamii inapaswa kuwahudumia wao na Mama zao kwa upendo

Serikali iweke kipaumbele na mpango maalumu wa kuboresha miundombinu ya kuwahudumia Watoto Njiti katika Hospitali zote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom